Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

20230509_073313.jpg
 
Sawa bibi harusi umerudi tena leo naona umeamka na mm 😆😆😆

Ona comment za wenzio wenye akili zao👇
Mwanaume mzima unashinda ukimsema vibaya mwanamke multimillionaire asiyekufahamu. Small dick energy ni sifa yako.
 
Muuza nyapu kwann asisemwe mwanamke anaolewa leo na kesho anaachika huyo nae mwanamke 😆😆
au unaumia vile ni mwanamke mwenzako??
Wewe kinachokuumiza kuhusu divorce ya mtu mwingine ni nini kama si kiherehere?

Na moja Kwa moja unaleta assumption kuwa tatizo ni yeye kwenye ndoa. Mwenza wake je? Wewe ni marriage counselor?

Kiufupi wewe ni misogynist na hupendi kuona mwanamke ambaye hana interest ku-conform na qualities ambazo akili yako finyu inaona ndio Mwanamke anapaswa kuwa nazo. Wewe ni nani kuamua maisha ya mwanamke yawe Vipi?
 
Ka CBD hakana hata BRT wala electrifitried SGR eti kanaitwa developed in East Africa, labda kama Dar iko excluded
Hawa mafala wa north uwa wanapenda kuanzisha vita za kijinga na nchi nyingine twitter na tiktok,kule tiktok wamekutana na wabongo waliopinda wanawapelekea moto hadi wameanza kuripoti acc za wabongo zifungiwe
 

Attachments

  • TikTok_7228274337025969414.mp4
    601.8 KB
  • TikTok_7229642906741624069.mp4
    1.1 MB
Wewe kinachokuumiza kuhusu divorce ya mtu mwingine ni nini kama si kiherehere?

Na moja Kwa moja unaleta assumption kuwa tatizo ni yeye kwenye ndoa. Mwenza wake je? Wewe ni marriage counselor?

Kiufupi wewe ni misogynist na hupendi kuona mwanamke ambaye hana interest ku-conform na qualities ambazo akili yako finyu inaona ndio Mwanamke anapaswa kuwa nazo. Wewe ni nani kuamua maisha ya mwanamke yawe Vipi?
Vp kwani au ww ndio umeachwa?? Manake unaumia kama ww ndio akothe kwema lakini ?? 😆😆😆

So unataka kusema akothe hauzi nyapu au?
Kataa basi kua hauzi nyapu niskie 😆😆😆
 
Kunyaland can't survive without Tanzania

Ila huu ni ujinga,hivyo iwapo tutauza wenyewe ulaya ni vizuri kuliko kuwauzia kunyaland maana sasa hivi kunyan ndio nchi inayoongoza kuuza avocado ulaya while wao wananunua kwetu halafu wanaexport ulaya,serikali yetu inashindwa nini sijui!
 
Vp kwani au ww ndio umeachwa?? Manake unaumia kama ww ndio akothe kwema lakini ?? 😆😆😆

So unataka kusema akothe hauzi nyapu au?
Kataa basi kua hauzi nyapu niskie 😆😆😆
Kichwa chako kimejaa tope.
 
Ila huu ni ujinga,hivyo iwapo tutauza wenyewe ulaya ni vizuri kuliko kuwauzia kunyaland maana sasa hivi kunyan ndio nchi inayoongoza kuuza avocado ulaya while wao wananunua kwetu halafu wanaexport ulaya,serikali yetu inashindwa nini sijui!
Walishatangulia huko zamani sie ndio tunaanza so it won't be reversed overnight.

Unashangaa huko hata kwenye mifugo licha ya sie kuwa namba 2 Kwa wingi still Kunyaland na Botswana wako mbele yetu..

Hofu ya Kunyaland ni kwamba we are coming Kwa Kasi that is all.

Mwisho hiyo article inahusu growth ya Kunyaland kuja Tanzania in terms of value na hawajaweka value ya Tanzania Kwa sababu wanajua tunawazidi BoP yetu Iko favourable kuliko Kenya.
 
Back
Top Bottom