Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani hujasoma mbao hizo?
Mbeya is next level View attachment 2614617
Sasa haya ndio mambo, pia fumua vile viwanja vya Sabasaba pale jenga kitu matata kabisa. Jiji la kibiashara liwe na maonesho ya kibiashara kamambe kabisa ukanda huu. Watu wakisikia Dar es Salaam International Trade Fair wapate picha kama ya Canton Fair au Dubai. Alafu wakisikia International Agriculture Fair, wapate picha ya Mbeya huko. Alafu ilo la museum wazo kuntu sana, Bongo we need more museums, museums ya mashujaa na viongozi. Museums za Jeshi, Museum za kibiashara kama usafirishaji na mambo kama hayo. Kila kitu tunacho, ni muda wa waBongo kutembea kifua mbele kama wamepigwa ngumi ya mgongo😅😅
 
Sasa haya ndio mambo, pia fumua vile viwanja vya Sabasaba pale jenga kitu matata kabisa. Jiji la kibiashara liwe na maonesho ya kibiashara kamambe kabisa ukanda huu. Watu wakisikia Dar es Salaam International Trade Fair wapate picha kama ya Canton Fair au Dubai. Alafu wakisikia International Agriculture Fair, wapate picha ya Mbeya huko. Alafu ilo la museum wazo kuntu sana, Bongo we need more museums, museums ya mashujaa na viongozi. Museums za Jeshi, Museum za kibiashara kama usafirishaji na mambo kama hayo. Kila kitu tunacho, ni muda wa waBongo kutembea kifua mbele kama wamepigwa ngumi ya mgongo😅😅
Plus cold rooms
Screenshot_20230508-175420_1.jpg
 
Sisi hatutakopa tena aliskika nabii mmoja kabla ya uchaguzi 😆😆😆😆 na pia waliamishwa kua tanzania bado iko 90s

 
Wewe ni mlevi bila shaka.. Tanga iko na viwanda vinne vikubwa vya Cement .. bomba la mafuta kutoka UG ambapo Tz itapata 40% ya faida ya bomba hilo plus Tanga iko n bandari ambayo Ina handle 1 million tonnes annually 👇View attachment 2614631.. nitakupiga na hizi facts hadi lini mzee.?
Mi nashnagaa unapoteza muda na Mkenya mlowezi.
 
Back
Top Bottom