Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

World's best selling electric car BYD 👇. Yo sa mbona kama china inawapelekea hewa ya moto sana wazalishaji wa magari dunia nzima.. kila sector .. so poa hawa jamaa ni balaa ..
 
Oy me najua bro Simon na bwana ichoboy01 ni wakali wa hizi kazi, naomba reviews zenu kwa hizi Chinese car brands (luxury electric SUV Hongqi👇. Gullwing . China Iko powa sana kwenye technology

Nilisema mm hapa toka mwanzo china ndio tishio kwa dunia kwenye kila kitu wakanipinga humu ndani 😆😆 USA anakosa usingizi anaposikia china ikitajwa kokote ulimwenguni
 
Kiwanja cha kimataifa songwe mbeya
20230509_161243.jpg
20230509_161245.jpg
20230509_161248.jpg

20230509_162406.jpg
20230509_162411.jpg
 
Ila bado wananafas kubwa sana ya kuongeza parking nafkiri watatumia hayo maeneo
Uzuri Terminal iko town, maeneo ya kupaki kibao, alafu pia sio LAZIMA kila mtu aje na gari binafsi kwenye train station, ndio maana unaona hapo terminal ipo linked na BRT. Bongo tunataka kuingia kwenye zama za kuacha kutegemea private cars for commuting, tunataka kuwa mabingwa wa effective public transport ukanda huu. Gari unaacha nyumbani lakini unasafiri kwa raha mustarehe.
 
Uzuri Terminal iko town, maeneo ya kupaki kibao, alafu pia sio LAZIMA kila mtu aje na gari binafsi kwenye train station, ndio maana unaona hapo terminal ipo linked na BRT. Bongo tunataka kuingia kwenye zama za kuacha kutegemea private cars for commuting, tunataka kuwa mabingwa wa effective public transport ukanda huu. Gari unaacha nyumbani lakini unasafiri kwa raha mustarehe.
Ni kweli bro maneno yako yako sahihi kabisa lakini pia wenye private cars waondoe shaka maeneo bado ni makubwa sana wanaweza kuongeza kadiri ya mahitaji
 
Ebana kuna taarifa nimeskia mradi wa bomba la mafuta tanga hoima pesa anatoa mchina baada ya standard chartered kujitoa naskia anafadhili mchina

Kumbe wakenya walituma watu wao waupige vita huo mradi kwasababu unaharibu mazingira sasa kitu najiuliza hayo mazingira ni ya tanzania au ya kenya ?? Yani hawa watu ni wanyama kabisa aloo alaf munaenda kuwaokoa huko sudan kwa sababu zipi??

Sasa mchina kaamua kutoa pesa mradi uendelee haya wamepata faida gani sijui 😆😆😆😆😆

 
Back
Top Bottom