Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Alaf akothe yuko ulaya anagawa nyapu kama mafungu ya nyanya😆😆😆

Heshima Kwake, although angekuwa Mkenya wewe Ichogirl would have criticized ukisema ati ni mental colonialism…. We know your hypocrisy very well..😂
 
Nairobi haiwezi ku level with Dar kwa sababu Dar ina world class infrastructures mfano cable stayed bridges (siyo moja yapo mawili), BRT system, cable stayed SGR viaduct, ongoing underground electrified SGR, etc... Nairobi hakuna hata kimoja kati ya hivyo nilivyotaja, sasa unawezaje kulinganisha hiyo miji miwili? Nairobi size yake Dodoma ambapo hiyo Dodoma ikikamilika hata Dar haitogusa.
 
Tutazidi kuwakumbusha wale Watopestan ( Wakundustan) kuhusu mabadiliko ya hili eneo kama tulivyowajulisha toka mwanzo
Yani mkuu hawa Wakenya tuliwaambia hii miradi kuna siku itakamilika wakawa wanabisha, now sisi tunaonesha miradi mipya kila siku wao wanaonesha GTC na expressway on a daily basis hadi huruma aisee
 
Piga hela azam tv
Tunakwenda kuinua michezo Kenya, kuanzia soka mpk ndondi, ila kiukweli hawa wachezaji wamechoka kweli kweli
Screenshot_20230508-220809.jpg
 
Hapa Simon

Weka neno... Maana pia wewe ni mkali wa Hisabati.
Comment yangu fupi ni huyo dogo namfaham😂..ni mtoto wa Haika Lawele (mama na mmiliki wa kumbi za sherehe mbili, mbezi beach na msasani) na Phares Magesa (baba na Rais wa basketball Tanzania).. ana kaka yake anaitwa patxon.. nae ni mkali kwa mathe ila naona huyu dogo kamzidi mwenzake.
Screenshot_20230508-232026_Instagram.jpg

Screenshot_20230508-233041_Instagram.jpg


Msione kimya. Niko dodoma kwa mda sababu ya majukumu
Screenshot_20230508-232428_Maps.jpg
 
Back
Top Bottom