joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Alaf akothe yuko ulaya anagawa nyapu kama mafungu ya nyanya😆😆😆
Oyaa wazee
Kweli umri wa onyango usishukiwe, bdo mdogo sana😅Tunakwenda kuinua michezo Kenya, kuanzia soka mpk ndondi, ila kiukweli hawa wachezaji wamechoka kweli kweliView attachment 2614840
Wachezaji wenyewe wamekaa kibangi bangi tupu🤣🤣Tunakwenda kuinua michezo Kenya, kuanzia soka mpk ndondi, ila kiukweli hawa wachezaji wamechoka kweli kweliView attachment 2614840
Hata treni za Gorofa ziko Dar tuu Africa nzima hakuna sembuse kanairoNairobi haiwezi ku level with Dar kwa sababu Dar ina world class infrastructures mfano cable stayed bridges (siyo moja yapo mawili), BRT system, cable stayed SGR viaduct, ongoing underground electrified SGR, etc... Nairobi hakuna hata kimoja kati ya hivyo nilivyotaja, sasa unawezaje kulinganisha hiyo miji miwili? Nairobi size yake Dodoma ambapo hiyo Dodoma ikikamilika hata Dar haitogusa.




Walisema CBD sehemu hii ina njia mbovu natumai kwa clip hii message sent and deliveredTutazidi kuwakumbusha wale Watopestan ( Wakundustan) kuhusu mabadiliko ya hili eneo kama tulivyowajulisha toka mwanzo![]()

Azam TV watatuonyesha mpaka chumbani kwao. Utasikia top scorer wa KPL au MVP akipewa carton ya maziwa ya brookside au kamfuko ka unga wa ugaliHawa tumewakamata Kila idara, Tanzania is a real giant of EA.



Mbona kama mahawkers? 😂😂😂😂Tunakwenda kuinua michezo Kenya, kuanzia soka mpk ndondi, ila kiukweli hawa wachezaji wamechoka kweli kweliView attachment 2614840
Bado Dar ina more trees in the CBD than Nairobi na CBD yetu ipo decongested kuliko overpopulated Nairobi CBDLooking great! They need to plant more trees.
Bado Dar ina more trees in the CBD than Nairobi na CBD yetu ipo decongested kuliko overpopulated Nairobi CBD
Wakenya ndivyo walivyo wanaanza kuwa wazee tangu vijana, nafikiri ni kwasababu ya lishe duni.Kweli umri wa onyango usishukiwe, bdo mdogo sana![]()
Naomba NDINDA aweke picha za ulinganifu before and afterWalisema CBD sehemu hii ina njia mbovu natumai kwa clip hii message sent and delivered![]()




Ikiwa bingwa wa ligi anapewa milioni 20 unategemea nini, washukuru Mungu Azam kaenda kuwakomboa angalau kdg dau litapandaAzam TV watatuonyesha mpaka chumbani kwao. Utasikia top scorer wa KPL au MVP akipewa carton ya maziwa ya brookside au kamfuko ka unga wa ugali![]()








Sawa bibi harusi umerudi tena leo naona umeamka na mm 😆😆😆You’re such an insufferable human being.
Sijui kama unafanya utani😅.. lkn huyu ni Tiwa Savage, mnigeria. Afu napendaga body yake 😍
Naona upperhill na westland + kilimani ndani au unabisha 😆😆😆😆😆
Ligi ya tanzania anaonesha azamIkiwa bingwa wa ligi anapewa milioni 20 unategemea nini, washukuru Mungu Azam kaenda kuwakomboa angalau kdg dau litapanda![]()