The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
























Hahah without running rubber track!Kuna huu pia, Jamhuri Stadium Dodoma.View attachment 2610776View attachment 2610777View attachment 2610778
I will quit this forum if you provide real evidence sio porojo za CCM…
Nchi ya ukabila hiyo, wanadhani sisi ni wakabila Kama wao.Ww fala sana CCM ndo wameandika au wanahusika nn hapo
Wakati huu uzi unaanza mwaka 2017 ilikuwa shida sn kuwaaminisha watu kwamba Tz ipo juu ya Kenya, tulipata tabu sana mpaka baadhi ya Watz walikuwa hawaamini kabisa, tena tulikuwa tunarumbana humu kweli kweli na Watz wenzetu waliokuwa hawaamini hilo, lkn kwa ss Wakenya ndio hawaamini kama Kenya yao ipo juu ya Tz, wamebaki Wakenya wachache hasa wa humu JF ambao ukweli wanaujua kwamba Tz ipo juu sana sema wanaona aibu kukubali japo tunaona wanakubali kupitia post zao zilizokata tamaa.
yaani hawa mbwa sijui wataacha lini ushamba
Tutaniane lakini tusiwe wanafiki. Mbona utudanganye hali sisi wote jamii ya Afrika Mashariki!?Alafu kuna huu, fahari na kimbilio la East and Central Africa, kama ulaya mwananguView attachment 2610816