ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,426
- 85,254
Alafu kuna viwanja vidogo vidogo kama huu wa Majaliwa upo Ruangwa Lindi na vingine vingi kama alivyovitaja game over
View attachment 2610853
Alafu kuna viwanja vidogo vidogo kama huu wa Majaliwa upo Ruangwa Lindi na vingine vingi kama alivyovitaja game over
View attachment 2610853
Kwenye suala la viwanja ni mbingu na ardhi.Kenya wana viwanja vingapi ambavyo boli linaweza kupigwa usiku?
Wewe jinga kabisa, Mimi sitaki maneno. Hapa Afrika Ukiacha South Africa na Egypt, hakuna nchi yoyote ambayo manufactured goods inafikia 20% ya exports
Kenya's top export yake ni tea ambayo thamani yake ni $2.6B kwa huo mwaka 2021, Sisi huku ni Gold ambayo inakaribia $4B, Wacha kudanganya watu, wewe ni mwongo Sana, ndio sababu unashindwa kuonyesha "real figure", badala yake unatumia maneno matupu.
Sasa weka data za total value of exports za Kenya 2022, tulinganishe na Tanzania
Sikuachi hadi ukubali kwamba Tanzania ndio dume la mbegu![]()
How coal drove Tanzania exports in 2022
Some experts credit the government's efforts in economic diplomacy for Tanzania's robust economic growth in 2022.www.thecitizen.co.tz
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hahaha, hahahaha, atampata wapi?Shirikilia hapo hapo mpaka akuoneshe ng'ombe mwenye matege![]()
hayo majina sio ya mitaa, ni majina yenye maana kwa wenyeji wa asili ya huko, kisa yamefanana haimaanishi wamechukua kutoka kunyaland
Huyu simwachi hadi abebe ujauzito wanguKomaa nae hadi kieleweke
Which evidence do you need?, You need to come to term, go through denial stage and accept the reality, Tanzania is above you in many aspects, including military capabilityI will quit this forum if you provide real evidence sio porojo za CCM…
Hapo nimeona tu uwanja moja. Hiyo ya Songea Maji maji. Hayo mengine ni vituko tu



Wa manispaa wataishije maisha mazuri kama wa Dar jiji kuu ndio wanaishi uswazi hovels?
Sawa msee ya kibera slumHaki Mombasa if you add 3 skyscrapers, the skyline would be bigger and better than Ka Dar is a Slum… Hebu zoom hii Picha…
Usiishie kujifungia ndani ya kibera tu pekeakeHaki Mombasa if you add 3 skyscrapers, the skyline would be bigger and better than Ka Dar is a Slum… Hebu zoom hii Picha…