Wewe jinga kabisa, Mimi sitaki maneno. Hapa Afrika Ukiacha South Africa na Egypt, hakuna nchi yoyote ambayo manufactured goods inafikia 20% ya exports
Kenya's top export yake ni tea ambayo thamani yake ni $2.6B kwa huo mwaka 2021, Sisi huku ni Gold ambayo inakaribia $4B, Wacha kudanganya watu, wewe ni mwongo Sana, ndio sababu unashindwa kuonyesha "real figure", badala yake unatumia maneno matupu.
Sasa weka data za total value of exports za Kenya 2022, tulinganishe na Tanzania
Some experts credit the government's efforts in economic diplomacy for Tanzania's robust economic growth in 2022.
www.thecitizen.co.tz
Sikuachi hadi ukubali kwamba Tanzania ndio dume la mbegu
Sent from my itel L5007 using
JamiiForums mobile app