Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wacha kutujazia page na mavitu yamekaa shule ya msingi! Hapo ni mkusanyiko wa vyuo visivyopungua nne!
Na wewe jiunge na wenzako wawili wote nitawapa dozi na usipende kudandia Kwa mbele mada ambayo hujui tulikoanzia..

Hivyo hivyo Vyuo sijui 4 au 35,Tanga havipo,Kila angle mtakayotafuta Mbeya itawapelekea moto kama kawaida.
20230428_203041.jpg
 
Wewe una matatizo sana,kama umeshindwa Cha kuonesha kutoka huko Bush acha naona unatafuta pa kutokea..

Eti naweka Udsm na wewe weka kama ipo huko Tanga kwani umekatazwa?

Una reason kama umekulia maharage,kwani Hujui kwamba Vyuo Huwa vina matawi?

Narudia tena kwenye tasnia ya Elimu na Uchumi acha huwezi shindana na Mbeya
Ondoa ushamba wako hapa.
 
Niwakumbushe tena mnisaidie kujaza hapa.. pia, kama una jamaa au ndugu at least mmoja mwenye gari mtumie hii link hapo chin ajibu haya maswali manne tu (kwenye hio link hakuna sehem ya kuweka personal detail zako kama majina au email, ni majibu tu). Majibu yatakayotolewa yatasaidia sana kuelewa biashara ya lubricants hasa lubricants zinazouzika sana.
Zoezi nitalifunga leo usiku. Asante!

Wazee (wanazi) wa magari ichoboy01 , na wengine nawategemea sana


Done, Mitsubishi Outlender. 🥸🥸🥸
 
Ondoa ushamba wako hapa.
Boya wewe huna hoja pita huko nimeshakukanyaga..🤣🤣🤣🤣
IMG_20221016_062520_017.jpg
IMG_20221016_085945_937.jpg
IMG_20211222_103514_178.jpg


Nilikwambia hicho Kijiji hakiwezi shindana na Mbeya,Mbeya is giant Thirg Largest GDP in Tanzania..

Size ya Tanga ni kina Geita,Kahama na Morogoro..

36.Tanzania Istitue of Accountancy
37.Amani Institute of Sign Language and Interpretation
38.Open University of Tanzania
39.Rungwe International College of Business and Intrepreneurship Development
40.Chuo Cha Madini Chunya Campus..

Unaweza zoom ukasoma hizo sign Board hapo..

Mwisho ukitaka hata hospitals sema tuaze Nako ntakutandika maana takwimu zote ninazo.
 

iyo picha uwa naipenda sana. kama vile USA vile kumbe sio ni BONGO LAND SWAHILI LAND ASE,,....
nawaona wakenya kona flani ivi na mawivu yao.... nikiwa nimesimama pale.
na apo wakenya mlvo watumbavu mtasema apo ni kenya GITHERI
 
Back
Top Bottom