Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naona mama kaongeza mpunga, from 5m per goal to 10m per goal.
IMG-20230428-WA0002.jpg
 
Hii project nafkiri wao wenyewe ndio wanawekeza ila usisahau kua utalii unakua tanzania tuangalie miaka 10 ijayo ambako tutakua tunapokea watalii million 10 bila kua na inafastructures za kutosha ikiwemo hio bado itakua ni tatizo kubwa sana kwetu na pia tanzania uchumi unakua vile vile population inaongezeka siku hadi siku tusisahau hayo pia ila tu nimaoni yangu
Kwani Nchi zingine yalikojengwa hayo Madara yanavutia huo Utalii? Sidhani kama is a big deal kusema watu watakuja kufanya Utalii..

China Kuna daraja la hivi na limezinduliwa miaka ya hivi karibuni, kumbuka wao wamejenga baada ya kuwa Nchi kubwa..

Miradi ya hivi wajenge private kama wanataka,hakuna kuweka pesa ya Kodi ya Wananchi
 
Kwahio,huo mradi wa daraja ujumuishwe na uienzi wa barabara unganishi.In a long term,mradi utalipa,na ni uhakika wa kupata mzigo.Zanzibar mzigo na traffic ni ndogo kufananisha na DRC
Ni kweli mimi siungi mkono hilo daraja maana gharama ni kubwa sana kulinganisha na faida itakayopatikana.
 
Ukiendelea kuleta ujinga wako nitaweka picha yako hapa ukiwa getini unalinda, we jifanye tumekusahau tu, macho mekundu kama mchawi alafu unataka kushindana kimaisha na mtz, sema suuu niweke picha yako hapa
Siku hizi mko hadi na picha za watu msiowajua mmesave kwenye simu zenu? So desperate!
Narudia tena mtanganyika, wewe nimekuzidi kila kitu. Usilete ligi na watu usiowajua
 
Kwani Nchi zingine yalikojengwa hayo Madara yanavutia huo Utalii? Sidhani kama is a big deal kusema watu watakuja kufanya Utalii..

China Kuna daraja la hivi na limezinduliwa miaka ya hivi karibuni, kumbuka wao wamejenga baada ya kuwa Nchi kubwa..

Miradi ya hivi wajenge private kama wanataka,hakuna kuweka pesa ya Kodi ya Wananchi
Kwenye Tweet uliyotuma mradi umesema ni PPP utakuwa under Build, Operate and Transfer, serikali haiweki hela, ni consent tu.

Tena inakuja kipindi kizuri sheria ya PPP ndio inasukwa. All good so far, msiogope, maendeleo ni inevitable…..the good thing is inapunguza depence ya usafiri wa aina moja. Alafu fikiria kuunganisha Dar na Zanzibar kwa maana ya kufungua utalii wa sehemu hizi mbili considering Zanzibar ni kisiwa na idadi ya watu inaongezeka. Hutamani tugawane watalii as wanaweza kuaccess sehemu zote kirahisi kama ambavyo Watalii huenda Manyara lakini wanalala Arusha? Think Big Brother, acha uoga.
 
Kwenye Tweet uliyotuma mradi umesema ni PPP utakuwa under Build, Operate and Transfer, serikali haiweki hela, ni consent tu.

Tena inakuja kipindi kizuri sheria ya PPP ndio inasukwa. All good so far, msiogope, maendeleo ni inevitable…..the good thing is inapunguza depence ya usafiri wa aina moja. Alafu fikiria kuunganisha Dar na Zanzibar kwa maana ya kufungua utalii wa sehemu hizi mbili considering Zanzibar ni kisiwa na idadi ya watu inaongezeka. Hutamani tugawane watalii as wanaweza kuaccess sehemu zote kirahisi kama ambavyo Watalii huenda Manyara lakini wanalala Arusha? Think Big Brother, acha uoga.
Sio uoga Mzee,kama serikali haiweki pesa sawa ila kwenye uchumi Kuna issue ya opportunity cost na strategic and rational thinking,msipende kutumia hisia au Imani kwenye masuala ya Uchumi..
pakado.farms_168268677363875.jpg
 
Back
Top Bottom