ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,489
- 88,632
Sidhani kama hii project ni viable economically. Upembizi yakinifu wamefanya?? Magari mangapi yatapita kwa siku??
Sidhani kama siku hilo daraja likijemgwa litawahi kuona faida kwa kweli.
🙏🙏 Miradi ya hivyo Ina cost sana Maendelea ya Nchi,kama watajenga wajenge Kwa PPPNaunga mkono hoja, lisijengwe kisa tu ni sifa kujenga, lina impact gani Kwenye uchumi?
Tutafika Mars wakati wao bado wanapambana na unga.
[emoji120][emoji120] Miradi ya hivyo Ina cost sana Maendelea ya Nchi,kama watajenga wajenge Kwa PPP
Sasa haya mabox baada ya miaka thelasini yatakuepo kwel😅
Great idea, alternatives modes of transport, FDI flow ya kutosha, kodi before and after mradi……Kwamba Kuna Mpango kabisa uko serious wa kujenga Hilo daraja? Hebu tuache kwanza hizi mambo jamani tufanye mambo mengine ya msingi.
Hapa naona wangejenga tunnel under the ocean floor ingekuwa better zaidi.
Niwakumbushe tena mnisaidie kujaza hapa.. pia, kama una jamaa au ndugu at least mmoja mwenye gari mtumie hii link hapo chin ajibu haya maswali manne tu (kwenye hio link hakuna sehem ya kuweka personal detail zako kama majina au email, ni majibu tu). Majibu yatakayotolewa yatasaidia sana kuelewa biashara ya lubricants hasa lubricants zinazouzika sana.Wakuu. Naomba nisaidie kujaza haya maswali machache kuhusu lubricants unazotumia kwenye gari yako kupitia hii link chini. Usisahau kushare kwa wenye magari
![]()
Questionnaire on Lubricants
Hi friend. Naomba nisaidie kujibu haya maswali machache kuhusu lubricants unazotumia kwenye gariforms.gle
forms.gle
Project ni ppp kaka itachochea biashara mbali mbali bila kusahau utaliiUmuhimu wake ni upi?, zaidi ya kubeba abiria na magunia ya Michele, tomato na vitunguu, Kuna biashara gani muhimu kati ya Dar na Unguja inayoweza kulipa deni la daraja la $80B?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Haya tayar kaka 👇👇Niwakumbushe tena mnisaidie kujaza hapa.. pia, kama una jamaa au ndugu at least mmoja mwenye gari mtumie hii link hapo chin ajibu haya maswali manne tu (kwenye hio link hakuna sehem ya kuweka personal detail zako kama majina au email, ni majibu tu). Majibu yatakayotolewa yatasaidia sana kuelewa biashara ya lubricants hasa lubricants zinazouzika sana.
Zoezi nitalifunga leo usiku. Asante!
Wazee (wanazi) wa magari ichoboy01 , na wengine nawategemea sana
![]()
Questionnaire on Lubricants
Hi friend. Naomba nisaidie kujibu haya maswali machache kuhusu lubricants unazotumia kwenye gariforms.gle
Kama wana hizo pesa,kwanini wasijenge hio miundombinu lake tanganyika? Pale watapunguza umbali wa malori kuzunguka zambia kwenda Congo DRC.Hapa naona wangejenga tunnel under the ocean floor ingekuwa better zaidi.
Mkuu, hiyo kitu isiwe PPP kwa maana ya "Public Private Partnership", badala yake iwe PPP kwa maana na "Pure Private Project", Serikalini isiwekeze chochote kile, wajenge wenyewe na wafanye biashara Kama vilivyo viwanda vya Bakhresa na wachina wengina wanaowekeza nchini, labda serikali iwape ardhi na eneo la bahari bure.Project ni ppp kaka itachochea biashara mbali mbali bila kusahau utalii
Hii project nafkiri wao wenyewe ndio wanawekeza ila usisahau kua utalii unakua tanzania tuangalie miaka 10 ijayo ambako tutakua tunapokea watalii million 10 bila kua na inafastructures za kutosha ikiwemo hio bado itakua ni tatizo kubwa sana kwetu na pia tanzania uchumi unakua vile vile population inaongezeka siku hadi siku tusisahau hayo pia ila tu nimaoni yanguMkuu, hiyo kitu isiwe PPP kwa maana ya "Public Private Partnership", badala yake iwe PPP kwa maana na "Pure Private Project", Serikalini isiwekeze chochote kile, wajenge wenyewe na wafanye biashara Kama vilivyo viwanda vya Bakhresa na wachina wengina wanaowekeza nchini, Kabda serikali iwabe ardhi na eneo la bahari bure.
Hiyo project ni gharama kuliko miradi yote Inayofanyika nchini kwa pamoja, yaani, kwa kipi hasa tunachokihitaji kukipata?, watalii wanaofika Zanzibar na Tanzania bara hatumia ndege kwa zaidi ya 90%. Hakuna justification yoyote kwa Sasa kujenga hilo daraja, usafiri wa maji kati ya Dar - Zanzibar ni mzuri Sana na inazidi kuboresha siku Hadi siku, Kama Kuna pesa za ziada tuzimwage kwenye kilimo.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app