Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

shida yao ni kichwa ngumu...mtu anajua tu hawezani lakini bado anatishia tishia...niko sure hata wao wanajua hawawes mek...these niggas are suffering from chronic inferiority complex
VICHWA NGUMU HAWA BONGOLALA SANA
 
This is called Dar es salaam. Dogo unakaribishwa baada ya uchaguzi

dar-es-salaam-beach-waves.jpg


562470_31_z.jpg


55898a6c0727f237956149wzb4f25a-1437495286-jMTV-medium.jpg


fixedw_large_4x.jpg
NIKITAKA KUOGELEA NAENDA MOMBASA BWANA. TANZANIA NCHI YA UMASKINI ITANISAIDIA NA NINI?
 
NIKITAKA KUOGELEA NAENDA MOMBASA BWANA. TANZANIA NCHI YA UMASKINI ITANISAIDIA NA NINI?
Haya naona sasa umepata Wi-Fi
Karibu tena tuanze siku nyingine. Sasa wewe nieleze kuhusu hali hii:-

upload_2017-10-24_12-19-31.png
 
NIKUELEZEE NINI
Toa maelezo hapa je, hapa ni wapi?

upload_2017-10-24_12-28-17.png

With a population of approximately 2.5 million dwellers, the slum of Kibera, located 7km southwest of Nairobi, consists of 200 settlements and occupies just 36% of Niarobi’s total land. Completely void of any cartographical context, its many unpaved roads see thousands of Kiberians walk many miles to and from work, passing metal homes and stores made from scrap barrels fashioned by hand. Only 20% of Kibera has the luxury of electricity. Water, until only recently, was collected from dam sources ripe with diseases such as typhoid and cholera. Any settler of the Kiberian slum must do without any government-owned hospitals or clinics.


10 Of The Biggest Slums In The World
 

This is a list of slums in Nairobi.
  1. Baba Ndogo
  2. Dandora
  3. Fuata Nyayo
  4. Huruma
  5. Kawangware
  6. Kangemi
  7. Kiambiu
  8. Kibera
  9. Gatwekera
  10. Kambi Muru
  11. Kangemi
  12. Kianda
  13. Kichinjio
  14. Kisumu Ndogo
  15. Laini Saba
  16. Lindi
  17. Makina
  18. Makongeni
  19. Mashimoni
  20. Mugumoini
  21. Raila
  22. Sarang'ombe
  23. Shilanga
  24. Siranga
  25. Soweto East
  26. Soweto West)
  27. Korogocho
  28. Majengo, Nairobi
  29. Matopeni
  30. Mathare
  31. Mathare Valley
  32. Mukuru kwa Njenga
  33. Mukuru slums
  34. Nyalenda
  35. Pumwani
  36. Ziwa la Ng'ombe
  37. Kenyatta University Slums
 
Informal Urban Settlements and Cholera Risk in Dar es Salaam, Tanzania
WHAT ABOUT THAT!
This is a list of slums in Nairobi.
  1. Baba Ndogo
  2. Dandora
  3. Fuata Nyayo
  4. Huruma
  5. Kawangware
  6. Kangemi
  7. Kiambiu
  8. Kibera
  9. Gatwekera
  10. Kambi Muru
  11. Kangemi
  12. Kianda
  13. Kichinjio
  14. Kisumu Ndogo
  15. Laini Saba
  16. Lindi
  17. Makina
  18. Makongeni
  19. Mashimoni
  20. Mugumoini
  21. Raila
  22. Sarang'ombe
  23. Shilanga
  24. Siranga
  25. Soweto East
  26. Soweto West)
  27. Korogocho
  28. Majengo, Nairobi
  29. Matopeni
  30. Mathare
  31. Mathare Valley
  32. Mukuru kwa Njenga
  33. Mukuru slums
  34. Nyalenda
  35. Pumwani
  36. Ziwa la Ng'ombe
  37. Kenyatta University Slums
 
INAEZA KUWA NI MIAKA SABA NA BADO IKO HIVO NDUGU
Kawaida huwezi tumia report ya zamani kuzungumzia hali ya sasa, kwa mfano, miaka saba iliyopita Kenya haikuwa na njaa, leo hii watu takriban 5.5M wanakabiliwa na njaa kutokana na ukame na sintofahamu za kisiasa, je utatumia takwimu zipi, za mwaka 2010 au hizi za sasa?

Miaka kumi iliyopita GDP ya Kenya ilikuwa $37B, sasa hivi inakaribia $70B, kwa nini usitumie ya zamani?, tafuta taarifa mpya utuletee usilazimishe mambo
 
Interms of floors
Hakuna skyscraper refu kama TPA(40fl) Kenya
Hakuna skyscraper refu kenya kama PSPF A(35fl) Kenya
Hakuna skyscraper refu kama PSPF B(35Flr)
Hakuna janjajanja za minara apa
Af kumbuka TPA Ina 178M( 40fl, each floor is 4.5m, 40 × 4.5 =180, errors plus extertion ni 178M, nyie wakenya cjui nadhan each flr ni 3M, cjui mnatuchukulia si watz ni vidwaff) na apo ni bila mnara
Endeleeni kuimba
 
Kawaida huwezi tumia report ya zamani kuzungumzia hali ya sasa, kwa mfano, miaka saba iliyopita Kenya haikuwa na njaa, leo hii watu takriban 5.5M wanakabiliwa na njaa kutokana na ukame na sintofahamu za kisiasa, je utatumia takwimu zipi, za mwaka 2010 au hizi za sasa?

Miaka kumi iliyopita GDP ya Kenya ilikuwa $37B, sasa hivi inakaribia $70B, kwa nini usitumie ya zamani?, tafuta taarifa mpya utuletee usilazimishe mambo
SI UPOST REPORT YENYE INAONYESHA MUME IMPROVE BASI
 
SI UPOST REPORT YENYE INAONYESHA MUME IMPROVE BASI
Nilikushauri jana kwamba, jukwaa hili huwa tunatumia credible, reliable and acceptable sources, kama huna nyamaza au rudi huko kwenye forum za Kenya ambako watu wanazungumza mambo ya kufikirika bila ushaihidi wowote, hiyo information is outdated is not acceptable, sio jukumu langu kukutafutia silaha ya kunipigia, it will be suicidal.
 
Back
Top Bottom