kiwiko
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 1,341
- 2,220
10 Floors Only Boss.
Sio haba kwa Temple
10 Floors Only Boss.
Unayoona kwenye tweet/link hapo ni ya mizigo (cargo)Yaani bila kutuletea hiki kitu vingine vyote tutaona porojo tu, ama wameenda kutembea picknick Korea.View attachment 2599706View attachment 2599707View attachment 2599708
Hii nayo ni three levels intersection.Je munajua treni ya mzigo itapita kwenye handaki hilo kwenda port huku BRT ikipita juu
[emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2599446View attachment 2599447View attachment 2599449View attachment 2599450
Hiyo ni electric locomotive kwaajili ya mizigo iko kama hii [emoji116]Sura inakuja kama hii[emoji116][emoji116]
View attachment 2599462
Mkuu hatuwezi kujenga reli ya maana namna ile halafu tukapandisha mtungi wa chang'aa never ever!Wabongo tunapenda vitu vizuri!Kitu kinakula make up taratiiiiiibu naona chocolate brown imeshakaa pahali pake.View attachment 2599454
Umetisha mkuu!nikicheki na ule mzigo unaoundwa, sawia kbs!
kila mkenya ana ndoto ya kutembelea Tanzania [emoji28][emoji28]
Oya ka mkubwa nakumbuka hizi mbwa za north zilisema hatutapata huu unyama 🤣🤣🤣 sasa. Mammaazao sijui wataramba dawa gani, mana saivi mzugwa haupatikani mjini..🤣🤣🤣🤣
Mbona msiwe obsessed kiasi hicho na Somalia, Sudan your peers? why Tanzania?Kutembea ni sawa…. Even me i visit from time to time lakini hilo halina maana yoyote on the economy comparison hata nikiwa mchanga used to visit my neibour friend whose parents were not all that well financialy but nilikua napenda kuenda kula huko sana… hadi nilikua nachapwa viboko not to to go there but najikuta huko huko [emoji4]
nairobae NairobiWalker Teargas NicxieOya ka mkubwa nakumbuka hizi mbwa za north zilisema hatutapata huu unyama 🤣🤣🤣 sasa. Mammaazao sijui wataramba dawa gani, mana saivi mzugwa haupatikani mjini..🤣🤣🤣🤣