Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hamna umuhimu wowote ukanda huu, kuna kitu muhimu duniani kama petrol? what if leo Dar ipo kwenye machafuko shutdowned completely, nini kitatokea kwenye haya mataifa?, Nairobi hata isiwepo kabisa duniani hakuna chochote kitachoharibika

20230415_181140.jpg
 
Kitu kizuri mumeona jinsi wananchi wa chini kamili(wakulima na wafugaji) wanamiliki Ardhi kubwa Sana, kuanzia hekari hamsini na kuendelea, Kenya 70% ya raia hawamiliki Ardhi, wanakodishiwa na mabwenyenye.
Sio kumiliki tu maeneo makubwa hivyo angali wao ni wananchi wa kawaida, kubwa zaidi ni wao ambao ancestral land yao ni zaidi ya kilometers 500 mbali na hapo wanamiliki Ardhi kubwa hivyo kwenye eneo ambalo sio asili yao, kunyaland huwezi mkuta mkisii anamiliki ardhi kubwa hivyo kwa mkikuyu, never
 
Hamna umuhimu wowote ukanda huu, kuna kitu muhimu duniani kama petrol? what if leo Dar ipo kwenye machafuko shutdowned completely, nini kitatokea kwenye haya mataifa?, Nairobi hata isiwepo kabisa duniani hakuna chochote kitachoharibika

View attachment 2597785

Nje ya mada,
Katika vitu Mmarekani na wenzake wanaomba itimie kwenye ndoto zao ni kupewa ruhusa ya kujenga military base yake hapa Tanzania ila ndo hivyo tena HAIWEZEKANI, hatuwezi ruhusu huo uzwazwa.

Imagine unakuwa na military base kwenye nchi iliyopakana na nchi nane!
 
Nje ya mada,
Katika vitu Mmarekani na wenzake wanaomba itimie kwenye ndoto zao ni kupewa ruhusa ya kujenga military base yake hapa Tanzania ila ndo hivyo tena HAIWEZEKANI, hatuwezi ruhusu huo uzwazwa.

Imagine unakuwa na military base kwenye nchi iliyopakana na nchi nane!
Hata mjerumani anainyapia sana hiyo opportunity pamoja na China, Germany anatoa misaada ya kufa mtu JWTZ nafikiri ndio anaongoza kwenye foreign contributions, saivi anajenga hospital kubwa sana ya kijeshi Dom
 
Tanzania is the only country in East Africa to have B2 positive in Moodys ranking and among 5 countries in Africa.

Screenshot_20230424-104331_Opera.jpg
 
Na bado mtu anakwambia Mombasa itafikia Dar huo ni uthubutu wa aina gani

1. BRT Phase 3 hapo bado na i hope watabadilisha staion design

2. BRT phase 4 and 5 will be u/c next year phase 4 tegeta road , phase 5 ni Nelson mandela, parts of tabata na Sam Njuoma road .
Phase 6 bado bado .Plan ni kumaliza zote before 2030 ili kuaanza construction ya elevated rail

3.Indoor Stadium 15k capacity , sijajua itajengwa maeneo gani

4. New Jangwani Bridge

5. Msimbazi river basin development project

6. Flyovers kwenye intersection 8 mpya

Hizo zote ni goverment related bado private

1.East Africa Commercial Logistics centre 75,000sqm largest mall or commercial centre EA nzima it is u/c

2. Shifa Pan African Hospital 60mil usd facility with 240 beds View attachment 2597633View attachment 2597634View attachment 2597635View attachment 2597636
Ni noma! 🔥 🔥 🔥 Bado train za mjini na phases zake! Mkwala unaanza toka Tegeta mpk Posta mjini reli
itakuwa elevated then pale karibu na Serena inapigwa subway!
 
Tanzania is the only country in East Africa to have B2 positive in Moodys ranking and among 5 countries in Africa.

View attachment 2597873
On top of that Tunaenda kuwa namba 3 Afrika Kwa GDP growth mwaka huu averaging 5.6%
 
Back
Top Bottom