Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Juzi vyombo vyenu vya habari viliripoti habari ya wamasai kugawiwa Ardhi huko Tanga, hii habari is very irrelevant such that even our media didn't even bother to report it.
Chombo kinaweza report habari kutoka huko bongo ila haiwezi trend jinsi habari za Kenya zinavyotrend huko. Kama hiyo ya Wamaasai kugawiwa shamba hadi mimi sijaskia na mimi kama member wa JF niko among Wakenya wanaojua kinachoendelea Bongo zaidi. Sasa imagine yule Mkenya wa kawaida. Hatufuatilii habari zenu kando ya kuwa media zenu zenyewe zina uvivu wa kupindukia yani mambo mengi hazireport.
 
Chombo kinaweza report habari kutoka huko bongo ila haiwezi trend jinsi habari za Kenya zinavyotrend huko. Kama hiyo ya Wamaasai kugawiwa shamba hadi mimi sijaskia na mimi kama member wa JF niko among Wakenya wanaojua kinachoendelea Bongo zaidi. Sasa imagine yule Mkenya wa kawaida. Hatufuatilii habari zenu kando ya kuwa media zenu zenyewe zina uvivu wa kupindukia yani mambo mengi hazireport.
Kitendo Cha media zenu kufuatilia na kutoa habari za Tanzania huko kwenu ni ishara ya umuhimu wa Tanzania kwa wakenya, Kamwe hakuna chombo Cha Tanzania kitajisumbua kuripoti mambo ya Kenya kwasababu watanzania hatuhitaji kujua lolote kuhusu Kenya, lamba Kama ni mambo ya hatari na vifo Ili kuwataarifu watanzania wachukue tahadhari
 
Kitendo Cha media zenu kufuatilia na kutoa habari za Tanzania huko kwenu ni ishara ya umuhimu wa Tanzania kwa wakenya, Kamwe hakuna chombo Cha Tanzania kitajisumbua kuripoti mambo ya Kenya kwasababu watanzania hatuhitaji kujua lolote kuhusu Kenya, lamba Kama ni mambo ya hatari na vifo Ili kuwataarifu watanzania wachukue tahadhari
Kureport sio kufuatilia. Kazi ya media ni kureport. Kwa hivo habari za umuhimu zitarepotiwa tuu. Hata Marekani wanareport habari zetu ila siwezi sema wanatufuatilia. Kufuatilia ni pale jambo la mtaa mtaa tu linakuwa trending news hapo kwenu. Hivi kile kisa cha jamaa kuua mtoto wake na kumzika kule Geita umekiskia Kenya? Hilo jambo la mtaa tu but lingefanyika Kenya ingekuwa trending news hapo bongolala.
 
Why are you changing the topic at hand?…. The issue was UN not hunger…. Hio njaa will be history in 2 years time… water projects underway to end the menace once and for all..
Do you even know why UN HABITAT offices are in Nairobi?

Because Nairobi is the world capital of unplanned settlement hence the need for UN HABITAT offices.

As a matter fact Nairobi serves as a laboratory for UN HABITAT implemented policies and strategies.
 
Kureport sio kufuatilia. Kazi ya media ni kureport. Kwa hivo habari za umuhimu zitarepotiwa tuu. Hata Marekani wanareport habari zetu ila siwezi sema wanatufuatilia. Kufuatilia ni pale jambo la mtaa mtaa tu linakuwa trending news hapo kwenu. Hivi kile kisa cha jamaa kuua mtoto wake na kumzika kule Geita umekiskia Kenya? Hilo jambo la mtaa tu but lingefanyika Kenya ingekuwa trending news hapo bongolala.
Chombo chochote Cha habari hakiwezi kureport mambo yasiyohitajika kwa wateja wake, Kumbuka hiyo media lengo lake ni kupata wasikilizaji/wateja wengi, lazima watafute taarifa zenye kupendwa na wateja wengi na sio vyenginevyo.

Note: Tafadhali Sana tunapozungumza mambo ya nchi zetu, usipende kutumia Marekani Kama mfano wa kuigwa, Tanzanians are not slaves of western countries the way Kenyans are.
 
Chombo chochote Cha habari hakiwezi kureport mambo yasiyohitajika kwa wateja wake, Kumbuka hiyo media lengo lake ni kupata wasikilizaji/wateja wengi, lazima watafute taarifa zenye kupendwa na wateja wengi na sio vyenginevyo.

Note: Tafadhali Sana tunapozungumza mambo ya nchi zetu, usipende kutumia Marekani Kama mfano wa kuigwa, Tanzanians are not slaves of western countries the way Kenyans are.
Kwa hivo umekubali Watanzania wanapenda taarifa za Kenya ndio maana munashinda mkizireport?
 
Meatu98.jpg
Meatu district hos
 
Back
Top Bottom