Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

All of a sudden watanzania wanakubali hizi Gdp figures
Hizo sio za kweli, Kenya haiwezi kufika GDP ya $100b, serikali haina pesa hata ya kulipa mishahara, kuna njaa, hakuna reserve ya kutosha, je hiyo gross domestic product mnaitoa wapi? Pia Tz imeshatoka huko kwenye $80b tupo kwenye $150sb kitambo, soon wataiweka hiyo figure tulia uone. Kenya haiifikii hata kidogo GDP ya Tz.
 
Jibu swali mkuu, kosa la Nyerere ni kumfukuza mzungu bila kufuata taratibu, Hilo ni kosa au sio kosa?
unapomfukuza mtu uliyempa vitalu kwa sheria zinazotaka arbitration ifanyike London na kushindwa kulinda assets zako huko ng'ambo ni upumbavu uliopitiliza wa Kisukumagang! Kipindi Nyerere anamfukuza mzungu sheria zilizompa ardhi hiyo hazikutaka arbitration ifanyike nje ya Tanzania!

 
Mkuu, watu wenye akili ndogo, hawawezi kuwaelewa watu wenye akili kubwa, sijui unanielewa?.

Kama tutachambua makosa ya Nyerere, Mandela, Fidel Castro, Ge-Gwavara, Robert Mugabe, Kwame Nkuruma, na wengine wenye kufanana, utagundua ni mengi kuliko hayo ya JPM.

Conclusion: Wenye akili ndogo hawawezi kuwaelewa wenye akili kubwa.
Unafanya makosa ya kusudi ya kugharimu Nchi then unajiita una akili kubwa? How?
 
Yule mkulima aliyesababisha ndege yetu kukamatwa Kule Afrika kusini alitimuliwa na Nyerere baada ya kumnyang'anya Ardhi kwa maslahi ya watanzania. Kupanga ni kuchangua.
Na yeye ndio kachagua hivyo Sasa mnamlaumu vipi? Kama Nyerere alikiuka Sheria then ulitarajia mwisho wa siku iweje?
 
Ndege ilifuata nini huko Australia, hizi kqmpuni za matapeli wa bongo hapa hapa. Afrika tunakosa transparency and accountability kwa viongozi matokeo yake wanaiba mfuko wa shati wanaweka mfuko wa suruali.

Sent using Jamii Forums mobile app
ndege haijaenda Australia bali kampuni ya Kiaustralia iliyodhulumiwa na Mwendazake imeshitaki GoT na imeomba kibali cha kushika ndege za Tanzania popote pale!
 
Umesema hakuwa na maarifa ya "International law" ndio maana alifukuza watu bila kufuata taratibu. Swali nikakuuliza, Nyerere ndiye kiongozi wa kwanza kuwafukuza watu bila kufuata taratibu, Ina maana alikua mpumbavu hajui "International law?"
Wote waliofukuza watu bila utaratibu yamewakuta mfano Zimbabwe..

South Africa haijathubutu kufanya huo ujinga.
 
Mkuu Mimi ninataka unieleweshe sio ubishi. Mkulima aliyeshikilia ndege yetu Kule Africa kusini alifukuzwa na Nyerere, akafungua kesi hapahapa nchini na akashinda, iweje jambo hilo hilo amelifanya JPM inaonekana ni dhambi kubwa, lakini akifanya Nyerere sio dhambi?.

Mkuu, haya mambo inategemeana na mitazamo ya mtu, pia inategemeana na uwezo wa akili ya mtu. Robert Mugabe amewafukuza wazungu, watu wenye akili ndogo watachukulia tofauti na jinsi watu wenye akili kubwa watakavyolichukulia jambo hilo.
Kwani akifanya Nyerere ndio sio makosa? Nyerere ni malaika? Ndio Mwendazake alifanya kosa la kusudi kabisa.
 
I mean , goverment inapata Cash ,na siyo kununua vx v8 tu za bei na watu ku inflate bei zs ndege, bali kuhskikisha vitu kma dialysis centre zipo na bei chini, rural roads, watu wale mema ya nchi yao
Hayo unayoyaeleza Rais Samia kayafanya Kwa kiasi kikubwa tena Kwa mda mfupi kuliko Rais mwingine yeyote hapo kabla licha ya hizo shortcomings.

Kwenye Huduma za jamii hakuna kama SSH so far..

Mwisho kama tunataka mapato specific ya Madini basi tuwe na mfuko maalumu wa mapato ya Madini harafu tukubaliane kwamba mapato ya Madini yafanye a,b na c vinginevyo yanaingia kwenye mfuko Mkuu wa Serikali na yanapangiwa Bajeti kama mapato mengine tuu.
 
joto la jiwe fanya ishu nyingine.. achana kumdiscuss mtu ambae yupo kaburin mwaka wa pili sasa
5fe2d81d835fa8063ba28b81b20758ee.jpg
 
Walikuwa wanasema eti Kenya GDP ni almost 2× Tz GDP, kiko wapi

Na mm nawaambia, tumewaacha mbali sn Wakenya kwenye GDP because our GDP ni $150b ila baada ya sgr kuanza operation soon tutagonga $200b, mda si mrefu watarekebisha takwimu zao na kuweka takwimu halisi.

Kama nyinyi ni 150 basi sisi ni 350
 
Nchi ya uchumi mdogo haiwezi kufanya mambo makubwa na kwa mkupuo kama Tz. Tunajenga infrastructures za gharama sn, yn thamani ya infrastructures zinazojengwa Tz ni sawa na uchukue thamani ya infrastructures zote zinazojengwa EA combined na haifikii ya Tz na bado civil servants wanalipwa mishahara yao pamoja na bonus zote bila tatizo lolote na njaa hakuna

We have a bigger budget
 
Kwahiyo "Kunya anakunya kuku, lakini akinya Bata ameharisha, sio?".

Kesi Kama hii ilimkuta Nyerere na akapoteza kesi katika mahakama za hapahapa Tanzania.
Kesi kutokea lazima zitatokea tu hata huko mbeleni , nyingne tutashinda nyingne tutashindwa issue ni kwamba imekua kama ka mchezo ndege kushikwa cause ni weak point serikalini na ndo asset ambazo ni rahisi kushikwa na wanaotudai ,

Hapa ni kulipa deni , ndo dawa maana mpka mnaenda mahakamani maana yake mmoja kaona anaonewa

Hii issue inaifanya sasa AtC isiwe huru maana watu wanakamata ndege ovyo na kuharibu schedules ,so ni muhimu ATC ikawa independent company ..

Mbona nchi nyingne ndege zao hazishikwi ovyo , kwan hao hawana cases
 
Back
Top Bottom