ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Hawapendi mujue madhaifu yao sasa kama mutayajua mutawanyima uhuru wa kujisifia uongo 🤣🤣🤣Sas unashangaa watu kujua habar zenu hujui maana ya huu uzi?[emoji28]
Hawapendi mujue madhaifu yao sasa kama mutayajua mutawanyima uhuru wa kujisifia uongo 🤣🤣🤣Sas unashangaa watu kujua habar zenu hujui maana ya huu uzi?[emoji28]
Limekua tatizo sasHata kwangu.
Kiukwel hawa watu wnapenda sifa, hyo ipo ndan ya DNA zao[emoji28]Hawapendi mujue madhaifu yao sasa kama mutayajua mutawanyima uhuru wa kujisifia uongo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Binafsi huwa sielewi logic ya serikali kununua hizi SUV za gharama, unless tunalazimishwa kimkataba kufanya hivyo.
Unaelewa maana ya karibia au kiswahili ni kigumu pia kwenu?Unajiona sasa Ulivyo dwanzi mwenyewe? [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] , Halafu hiyo audacity sasa , Eti nani kasema kumbe we mwenyewe.
View attachment 2587928
Karibia yote maana yake ni over 90% je ni kweli hata 20% mumefkisha??? 🤣🤣🤣Unaelewa maana ya karibia au kiswahili ni kigumu pia kwenu?
[emoji23][emoji23]Nchi Ina njaa,satellite wataiweza? Si litaangukia Nairobi liue kina Gachagua Bure [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji1787]wabongo bhana ingawa tuna pishana mitazamo humu sisi kwa sisi ila zarau kwa wakunya mmezidisha aisee [emoji119][emoji119]Nchi Ina njaa,satellite wataiweza? Si litaangukia Nairobi liue kina Gachagua Bure [emoji1787][emoji1787]
Yangu macho!Ni kama jaribio la kuwa na BRT………Kenya kama Kenya, nchi ya mikwara miiiingi na kujikweza View attachment 2587955😅😅
Principal ya Maendelea,Cha kwanza lazima udhibiti njaa ya tumbo ndio ubongo unaweza fanya kazi ya kufikiri Kwa usahihi..[emoji23][emoji23]View attachment 2588080
Imagine Kijikonyama vs GTC😅😅View attachment 2588236
Karibia yote maana yake ni over 90% je ni kweli hata 20% mumefkisha??? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]