ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Hawapendi mujue madhaifu yao sasa kama mutayajua mutawanyima uhuru wa kujisifia uongo 🤣🤣🤣Sas unashangaa watu kujua habar zenu hujui maana ya huu uzi?![]()
Hawapendi mujue madhaifu yao sasa kama mutayajua mutawanyima uhuru wa kujisifia uongo 🤣🤣🤣Sas unashangaa watu kujua habar zenu hujui maana ya huu uzi?![]()
Limekua tatizo sasHata kwangu.
Kiukwel hawa watu wnapenda sifa, hyo ipo ndan ya DNA zaoHawapendi mujue madhaifu yao sasa kama mutayajua mutawanyima uhuru wa kujisifia uongo![]()


Binafsi huwa sielewi logic ya serikali kununua hizi SUV za gharama, unless tunalazimishwa kimkataba kufanya hivyo.
Unaelewa maana ya karibia au kiswahili ni kigumu pia kwenu?Unajiona sasa Ulivyo dwanzi mwenyewe?![]()
![]()
![]()
, Halafu hiyo audacity sasa , Eti nani kasema kumbe we mwenyewe.
View attachment 2587928
Karibia yote maana yake ni over 90% je ni kweli hata 20% mumefkisha??? 🤣🤣🤣Unaelewa maana ya karibia au kiswahili ni kigumu pia kwenu?
Nchi Ina njaa,satellite wataiweza? Si litaangukia Nairobi liue kina Gachagua Bure![]()

Nchi Ina njaa,satellite wataiweza? Si litaangukia Nairobi liue kina Gachagua Bure![]()


wabongo bhana ingawa tuna pishana mitazamo humu sisi kwa sisi ila zarau kwa wakunya mmezidisha aisee 

Yangu macho!Ni kama jaribio la kuwa na BRT………Kenya kama Kenya, nchi ya mikwara miiiingi na kujikweza View attachment 2587955😅😅
Principal ya Maendelea,Cha kwanza lazima udhibiti njaa ya tumbo ndio ubongo unaweza fanya kazi ya kufikiri Kwa usahihi..
Imagine Kijikonyama vs GTC😅😅View attachment 2588236
Karibia yote maana yake ni over 90% je ni kweli hata 20% mumefkisha???![]()

