Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

DRC inakuja kwa kasi sana. Ndani ya miaka 10 tutaona tofauti kubwa.
By the way Eastern Africa tunajitahidi.
SADC pia tupo vizuri

Top 10 biggest economies in sub-Saharan Africa in 2023

1. Nigeria $506.6 billion 🇳🇬
2. South Africa $399 billion 🇿🇦
3. Ethiopia $156 billion 🇪🇹
4. Kenya $118.1 billion 🇰🇪
5. Angola $117.8 billion 🇦🇴
6. Tanzania $85.4 billion 🇹🇿
7. Còte d'Ivore $77 billion 🇨🇮
8. DRC $69.4 billion 🇨🇩
9. Ghana $66.6 billion 🇬🇭
10. Uganda $49.7 billion 🇺🇬

- IMF, current prices
Sisi kwetu kunatakiwa kuwa hapo baada ya SA, yaani tukidouble tu hizi namba (which is very possible) basi tumefika hapo. God Bless Tanzania
 


Rostam ka-recruit CEO wa Solitaire air (fly Jordan)
1516735744422


MY TAKE
Inakaa coastal aviation is rooted for massive expansion!
 
Serikali ifanye kitu kimoja, kama bado haiwezi kutransfer hizo ndege kwa ATCL basi zile routes korofi zenye vitisho vya kukamata ndege zetu wakodi ndege ndio ziwe zinaende huko, routes kama za SA na Ulaya peleka ndege za kukodi, huku kwingine tufanye biashara na ndege zetu wakati tukiwa bado tunayajenga na hawa wadai wetu. Problem Solved.
 
Serikali ifanye kitu kimoja, kama bado haiwezi kutransfer hizo ndege kwa ATCL basi zile routes korofi zenye vitisho vya kukamata ndege zetu wakodi ndege ndio ziwe zinaende huko, routes kama za SA na Ulaya peleka ndege za kukodi, huku kwingine tufanye biashara na ndege zetu wakati tukiwa bado tunayajenga na hawa wadai wetu. Problem Solved.
That's a good point sioni sababu serikali kuendelea kumiliki ndege inazifanya ziwe vulnerable na kushikwa na wadai wake! serikali kumiliki zile ndege badala ya ATCL ni upuuzi na sijui kama watakuelewa!
 
Shida ATCL nayo inadaiwa, wakimiliki tu zinashikwa…….idea ya Serikali kununua na kumiliki then ATCL ikiwa stable ndio imilikishwe was good since idea ya kufungua Shirika jipya la ndege was complicated kwani ingebidi wasifilisi kwanza ATCL ambapo ingepoteza assets zake zote kufidia madeni.

Well, so far zikija hizo 5 tusinunue zingine, tukodi then tupambane kimafia na hao jamaa, bado naamini tukijipanga kwenye aviation tunatoboa mchana wa saa sita.
 
Shida ATCL nayo inadaiwa, wakimiliki tu zinashikwa…….idea ya Serikali kununua na kumiliki then ATCL ikiwa stable ndio imilikishwe was good since idea ya kufungua Shirika jipya la ndege was complicated kwani ingebidi wasifilisi kwanza ATCL ambapo ingepoteza assets zake zote kufidia madeni.

Well, so far zikija hizo 5 tusinunue zingine, tukodi then tupambane kimafia na hao jamaa, bado naamini tukijipanga kwenye aviation tunatoboa mchana wa saa sita.
walipe madeni ya ATCL si makubwa kama mikesi ya GoT na wamiliki migodi na vitalu waliotimuliwa na mwendazake bila kufuata utaratibu! Jamaa alikuwa mtu wa ajabu sana hakuwa na maarifa ya international trade and laws hata kidogo!
 
walipe madeni ya ATCL si makubwa kama mikesi ya GoT na wamiliki migodi na vitalu waliotimuliwa na mwendazake bila kufuata utaratibu! Jamaa alikuwa mtu wa ajabu sana hakuwa na maarifa ya international trade and laws hata kidogo!
Yule mkulima aliyesababisha ndege yetu kukamatwa Kule Afrika kusini alitimuliwa na Nyerere baada ya kumnyang'anya Ardhi kwa maslahi ya watanzania. Kupanga ni kuchangua.
 
Yule mkulima aliyesababisha ndege yetu kukamatwa Kule Afrika kusini alitimuliwa na Nyerere baada ya kumnyang'anya Ardhi kwa maslahi ya watanzania. Kupanga ni kuchangua.
Sasa Mwendazake alipokuwa ananunua ndege na kuzimilikisha Tanzania Government Flight Agency inayomilikiwa na serikali 100% hakujua hilo au ubishi wa kipumbavu? mbona old ATC ilikuwepo na ilikuwa ikifanya flights za Johannesburg na ndege zake hazikukamatwa!

Kuna huu mkesi unanguruma huko!
 
Back
Top Bottom