Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Namapicha ukipata tupia za kutosha
Nina video nashindwa ku upoload hapa.
Screenshot_20230415-213312.jpg
 
DRC inakuja kwa kasi sana. Ndani ya miaka 10 tutaona tofauti kubwa.
By the way Eastern Africa tunajitahidi.
SADC pia tupo vizuri

Top 10 biggest economies in sub-Saharan Africa in 2023

1. Nigeria $506.6 billion 🇳🇬
2. South Africa $399 billion 🇿🇦
3. Ethiopia $156 billion 🇪🇹
4. Kenya $118.1 billion 🇰🇪
5. Angola $117.8 billion 🇦🇴
6. Tanzania $85.4 billion 🇹🇿
7. Còte d'Ivore $77 billion 🇨🇮
8. DRC $69.4 billion 🇨🇩
9. Ghana $66.6 billion 🇬🇭
10. Uganda $49.7 billion 🇺🇬

- IMF, current prices
Hao ghana 🇬🇭 tulikuwa tunachuana nao gdp leo hii wanazidiwa na drc
Aiseeeeeee!
 
Nchi ya uchumi mdogo haiwezi kufanya mambo makubwa na kwa mkupuo kama Tz. Tunajenga infrastructures za gharama sn, yn thamani ya infrastructures zinazojengwa Tz ni sawa na uchukue thamani ya infrastructures zote zinazojengwa EA combined na haifikii ya Tz na bado civil servants wanalipwa mishahara yao pamoja na bonus zote bila tatizo lolote na njaa hakuna
 
Back
Top Bottom