Simba 254
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 2,679
- 1,766
TzTz
As for roads you like 10 years behind us coz the kind of roads I see you post while we dualling most of our roads in every county I pity you
TzTz
Budget yote wanakula wanasiasa na wafanyakazi wa serikali. Hata pesa ya kusubsidise mahindi hamna!We have a bigger budget
Budget yote wanakula wanasiasa na wafanyakazi wa serikali. Hata pesa ya kusubsidise mahindi hamna!
Mradi wa SGR mchakato ulianza hata kabla ya mwendazake! Wezi na wakabila wakubwa nyie Sukumgang! BTW Mama anagonga 4 lots at once sasa!Wewe kubwa jiga geza kwani magufuli si hayupo tena. Wanashindwa nini sasa kuzipeleka ATC? Mbona wasukuma wote wanafukuzwa serikalini bado kadogosa tu. Mwambie shoga yako aziludishe ATC usitufokee ujinga wako malaya wewe. Kila siku reli Tv wakitoa video wewe wa kwanza kupost. Unajua nani kaanzisha sgr? Usijizime data na ukome kutaja wasukuma maana hawajambikili mama yako
pity hahahahhahaaa unachekesha sna wewe me uku nimesha kula naomba ukale ndio uongee na mimiAs for roads you like 10 years behind us coz the kind of roads I see you post while we dualling most of our roads in every county I pity you
So your government has a budget for giving everyone food in your country?Still mnakufa njaa! U must be the laziest people on Earth as u can't put that education into action!
Mradi wa SGR mchakato ulianza hata kabla ya mwendazake! Wezi na wakabila wakubwa nyie Sukumgang! BTW Mama anagonga 4 lots at once sasa!
You roads can’t compare to our roads truth be told you guys don’t have roads wacha that two meters you post here Kenyan roads are no where to be compared with your roads
Soma hii then utueleze hizo road nzuri ni zipi.
pity hahahahhahaaa unachekesha sna wewe me uku nimesha kula naomba ukale ndio uongee na mimi
How is someone’s opinion who was on a road trip supposed to change facts?
Huu ndio uungwana, kukubali kwamba hata "big brains" zinafanya makosa, hiyo haina maana kwamba huyo mtu ni mpumbavu, mkabila au hajui "International law".Kwani akifanya Nyerere ndio sio makosa? Nyerere ni malaika? Ndio Mwendazake alifanya kosa la kusudi kabisa.
Zimbabwe kipi kimewakuta?Wote waliofukuza watu bila utaratibu yamewakuta mfano Zimbabwe..
South Africa haijathubutu kufanya huo ujinga.
Hakuna anayelaumu Wala kulalamika, Geza ndiye anayemkashifu JPM kwa kufukuza watu bila kufuata taratibu, lakushangaza anamtetea Nyerere ambaye ndiye mwanzilishi wa kufukuza watu bila kufuata taratibu.Na yeye ndio kachagua hivyo Sasa mnamlaumu vipi? Kama Nyerere alikiuka Sheria then ulitarajia mwisho wa siku iweje?
Hata Nyerere alifanya kosa hilohilo na bado tunakubali kwamba Nyerere ni akili kubwaUnafanya makosa ya kusudi ya kugharimu Nchi then unajiita una akili kubwa? How?
Hebu soma hapa (bofya). Usituletee maringo yako kama Riggy G😂🤣Show me any evidence ya mtu amekufa njaa
Mbona alishindwa kesi, tena ilifanyika hapa hapa Tanzania kwa kutumia majaji na Sheria zetu wenyewe tulizojiwekea sisi wenyewe, huo utauitaje?unapomfukuza mtu uliyempa vitalu kwa sheria zinazotaka arbitration ifanyike London na kushindwa kulinda assets zako huko ng'ambo ni upumbavu uliopitiliza wa Kisukumagang! Kipindi Nyerere anamfukuza mzungu sheria zilizompa ardhi hiyo hazikutaka arbitration ifanyike nje ya Tanzania!
Daresalaam is a dump......extremely overrated swahili villageLast month was in dah and it’s still as shity as I left it… building inroads is where you draw the line…. Kuna njia mingi sana za mchanga