The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Kenya hapana kwa kweli 🤣🤣🙌🙌🙌🙌
siku tunaaanza kuiuzia kenya cooking oil wasilalamike!
Alaf finishing yenyewe sasa 😆😆😆👇👇Ni ngumu kuamini this bus was fabricated in Kenya.View attachment 2587555View attachment 2587556
Kigoma can singlehandedly do thatsiku tunaaanza kuiuzia kenya cooking oil wasilalamike!
😆😆😆😆 wanataka mambo makubwa wakat madogo yanawatoa kamasi
Umekula kwanza? 😁😁Hadi University za Tanzania ni Barabara za mchanga ndani?
What a shame
Asante Mkuu 🤣
Wekeni lami University muache ujinga wa kimagufooliUmekula kwanza? 😁😁
Zilete
Akili yako ipo uvunguni mwa mwili wako. Uje uone kama kuna njia ya vumbi UDOMWekeni lami University muache ujinga wa kimagufooli
Hebu Tazama hapa...Wacha kuwa dwanzi, hamna aliyesema estate roads zote za Nairobi zina lami. Hata hivyo majority zina lami, hata hiyo umeweka hapa ukatafuta current picture ya hio area utapata kuna lami. Tupee jina ya hio street tukuletee current picture
Kileleshwa
Sas unashangaa watu kujua habar zenu hujui maana ya huu uzi?Hamna habari ya Kenya itawapita
