ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,245
Kenya nzima hivi Kuna VVIP? 2 x 1 Seaters.
Tanzania bus za hivi ziko Dar Mwanza,Dar Dodoma na Sasa Dar-Mbeya.
Tanzania bus za hivi ziko Dar Mwanza,Dar Dodoma na Sasa Dar-Mbeya.
Haitaweza tokea hiyo na bahati nzuri China Huwa na mikwara Mingi sana ila mwisho wa siku ataufyata.Marekani anaelekea kubaya sana na sasa mwisho wale umedhihiri 🤣🤣🤣🤣
Sasa mikwara utaiona tu manake diplomacy ikishindikana sasa inakuja balaa, china inaoenda sana amani lakini amani ikishindikana basi mutaelewana tuHaitaweza tokea hiyo na bahati nzuri China Huwa na mikwara Mingi sana ila mwisho wa siku ataufyata.
Nasubiria kuona.Sasa mikwara utaiona tu manake diplomacy ikishindikana sasa inakuja balaa, china inaoenda sana amani lakini amani ikishindikana basi mutaelewana tu
Marekani aache kuchokoza nchi za watu taiwan iko chini ya china hata UN wanajua hvo sasa ifike hatua aache kuingilia nchi zingine ukraine mambo magumu yamemshinda huko sasa anaingilia china 🤣
Unasubiri kuona wakat operation ishaanza huko ishazungukwa taiwan 😆😆👇👇👇Nasubiria kuona.
Unasubiri kuona wakat operation ishaanza huko ishazungukwa taiwan 😆😆👇👇👇
China inapenda sana amani lakini mm nakwambia utaamini nn nakwambia muogope sana mtu anaekaa kimya but time will tell 😆😆😆Mbwembwe kama hizi alifanya wakati Polisi alipotembelea Taiwan lakini hakuna hata risasi alifuatua..
Kungekuwa na hiyo vita serious intelligence apparatuses za USA zingeshasema kama walivyosema kwenye kabla ya vita ya Ukraine na Russia na kumpa offer Zelensky Kuondoka..
Ila Kwa hapa ni intimidations za kijinga lakini hakuna kitu Watafanya..
Anapenda amani Kwa sababu ni maskini tuu hana jeuri kama ya America na Russia..China inapenda sana amani lakini mm nakwambia utaamini nn nakwambia muogope sana mtu anaekaa kimya but time will tell 😆😆😆
Hehehe maskini lakini ndio tishio umber moja kwa america na wao wamethibistisha 🤣🤣🤣🤣🤣Anapenda amani Kwa sababu ni maskini tuu hana jeuri kama ya America na Russia..
Mwenzie Russia amewekeza akili zake zote kwenye Silaha,wayahudi wa Russia wanamsaidia kama ilivyo Kwa America.
Sasa China ana silaha zipi za maana?China ana uchumi mkubwa but fragile na population kubwa vile mda wowote ana collapse akiingia kwenye Vita..
USA ana uwezo wa Kuendesha Vita zote mbili, Ukraine na huku Taiwan Hadi Russia na China wafikisike..
Yaani sie timu America tuna raha sana 😆😆
Hehehe maskini lakini ndio tishio umber moja kwa america na wao wamethibistisha 🤣🤣🤣🤣🤣
Anauwezo wakat nchi inahemea mipira ya mikojo sasa hvi na sasa kama ulikua hujui technology ya china inatoka russia hata ya iran na north korea inatoka russia
Muna raha wakat ukraine inawatoa mavi na uharo 🤣🤣🤣 na ukraine ikichukuliwa tu ujue europe imekwisha andika haya maneno
Wewe bado sana kwenye mambo ya vita ww kazi unaiweza ni uchawa na nashangaa mbona hawajakupa hata kua mwenyekiti wa machawa mkoa wa katavi huko 🤣🤣🤣🤣 manake naskia kuna machawa wa mama, mwenzako mwijaku tayar ni chawa wa mama ww unasubiri nn ??
Hii nchi 🙌🙌🙌🙌🙌
Hamna uwanja kama kasarani hii regionJengeni uwanja mpya bhn achaneni na hilo fupa 70s.
Hizi matatu hazina tofauti na Bangaladesh bus lorries