Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe hapo mfukoni huna hata shillingi 500 yakununua mihogo usife njaa hapo Dar lakini bado unakaza shingo.

Jambo muhimu ndugu yangu magonjwa mtambuka ni kukubali kumeza dawa ili tupone.

Tanzania bado ni nchi masikini na watu wetu wengi maisha ni tia maji tia maji.

Nadhani unanielewa maana kama nilivyosema hapo juu huna 500 saa hii ununue mihogo usife njaa.
Wewe ndio una mbumba?
 
Conquering Africa 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪

Image
Hawa majamaa wa Western kumbe walikua wamekalia talanta tu hivi. Tulidhani Kenya ni long distance races too. Soon tutadominate hadi sprints.
 
Nominal and real GDP of Kenya for year 2021 was 12,000 000 milion and 9,000,000 million respectively.

Wale wataalamu wa mambo tunaomba mtupe data za GDP ya Kenya fy 2022 in KES.

If you take into account the prevailing rate ya KES to the dollar mnaweza mkajua GDP ya Kenya in USD for year 2022.

 
Nitafurahia vipi wakati mamilioni ya Watanzania hapo Dar wanaishi kwenye ufukara? Hebu uliza jirani yako kama amekula leo? Watu wengi hapo Dar wanalala njaa. Mbaya zaidi ni vijana. Ukweli huu hausemwi ila Tanzania umasikini ni mkubwa na ndugu zetu wanateseka. Hili si jambo la kufurahia.

Wewe kwa akili yako yakuvukia barabara unadhani Dar es Salaam ipo na miundombinu ya maana?

Ni mwendelezo wa ujinga ujinga tu.

Tanzania sisi ni vilaza sana.

Siku zote tunakaza shingo wakati tunapigwa mijeledi mikali ya umasikini na ukosefu wa miundombinu bora.

Ningekuwa karibu ningekamata bakora nikuchape hayo matako yako kwasababu hutaki kujifunza unachofahamu ni kurusha mdomo.
Duh hapa ndipo ulipoharibu kabisa, eti vijana wa Tanzania wanalala njaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wewe hapo mfukoni huna hata shillingi 500 yakununua mihogo usife njaa hapo Dar lakini bado unakaza shingo.

Jambo muhimu ndugu yangu magonjwa mtambuka ni kukubali kumeza dawa ili tupone.

Tanzania bado ni nchi masikini na watu wetu wengi maisha ni tia maji tia maji.

Nadhani unanielewa maana kama nilivyosema hapo juu huna 500 saa hii ununue mihogo usife njaa.
Key words "hapo Dar" zen unasema unaishi Dar, kakojoe ukalale [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nikutajie kitu gani wewe kijana wa Dar?

Nakupatia data ndogo tu.

GDP ya Kenya ni USD 117 billion vs GDP ya Tanzania USD 71 billion.

Amka kijana ingia mtaani usake kazi upate pesa tusonge mbele mtu mmoja mmoja na nchi kwa ujumla.

Nairobi wametupita pakubwa.
Hapa tena umethibitisha ukenya wako, wazee wa GDP, nmekuambia unitajie miundombinu wewe kwa ukenya wako ukaona utaje GDP [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Duh hapa ndipo ulipoharibu kabisa, eti vijana wa Tanzania wanalala njaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tz kuna umasikini mkubwa mijini hasahasa miongoni mwa vijana.

Mfano mzuri ni wewe kijana wa Dar.

Sababu? Rahisi tu kufahamu.

Ujuzi au taaluma walizo nazo vijana wa Tz ni zakiwango cha chini.

Hiyo maana yake wanakosa ubunifu na mbaya zaidi hakuna atakayekuwa tayari kuwapatia ajira kwasababu hakuna anayetaka kufanya kazi na bongolala.

Sisi watanzania wengi ni bongolalaz.

Hiyo maana yake vijana wanakosa pesa, si tu yakulipia kodi ya nyumba bali hata pesa yakununua msosi hawana.

Wewe huna buku 2 hapo mfukoni.

Acha kuvuta mdomo nchi yetu Tanzania ni masikini sana tu. Vijana wengi hapo Dar mnakula mlo mmoja kwa siku.
 
Hapa tena umethibitisha ukenya wako, wazee wa GDP, nmekuambia unitajie miundombinu wewe kwa ukenya wako ukaona utaje GDP [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaweza hizo emoji nyingi kwasababu gani?

Haujagundua ni namna moja ya ujinga au maradhi ya akili?
 
Alafu eti ni mtanzania huyu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha porojo.

Watanzania wengi ni masikini na mbaya zaidi inaonekana hatuna lakufanya.

Kenya wao wanafanya mambo yao na uchumi wao ni mkubwa zaidi yetu.

Acha kuvuta mdogo ndugu, hii nchi inawatu masikini na asikudanganye mtu umasikini wa mijini ni mkubwa. Vijana wa kitanzania wanashinda njaa.

Wakina dada wakina kaka wote wanashinda njaa.

Haya ndiyo mambo yakuhangaika nayo watu wetu wawe huru.

Unanielewa lakini wewe kilaza?
 
Back
Top Bottom