Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzania kwa sasa ni lulu
IMG_20230413_160335.jpg
 
Wewe nyang’au ni kilaza wa kupindukia.
Ninauhakika wewe kijana wa hovyo hujala toka asubuhi hadi saa hii.

Tatizo unavuta mdomo sana wakati huna hata 500 mfukoni.

Dar es Salaam bado ni mji masikini na miundombinu ni dhaifu sana.

Kuliko kupoteza muda kuvuta mdomo kama mwanamke wa pwani bora ufanye kazi sawa wewe kilaza mwenye magonjwa mtambuka?
 
Yani nikiona mtu anaandamana ili apewe ugali na Ruto ni kipimo cha mwisho kabisa cha ujinga na uzembe.

Hiyo ni primitive society.
Tanzania bado ni masikini kupindukia.

Ukitazama kipimo cha International Extreme Poverty level, Tanzania is one of the world's poorest economies.

Hii ni katika Per capita income.

Lazima wanaume wa Dar mpigike kazi na si kuvuta midomo kama mnataka kujinasua toka kwenye umasikini.
 
Tanzania bado ni masikini kupindukia.

Ukitazama kipimo cha International Extreme Poverty level, Tanzania is one of the world's poorest economies.

Hii ni katika Per capita income.

Lazima wanaume wa Dar mpigike kazi na si kuvuta midomo kama mnataka kujinasua toka kwenye umasikini.
At least hatuandamani ili tupate ugali.
Kenya is a primitive country.
 
Siku ukizinduka ndio siku utajitambua kuwa wewe ni kilaza tu.
Wewe umegoma kufanya kazi halafu unalia njaa.

Serikali yako nayo masikini haina uwezo wakukupatia chakula wala ajira.

Utafanaya nini na wewe ni bongolala?

Uwezo wa kupigana huna, akili ya ubunifu huna.

Labda kuolewa?
 
Kutoka 22 mpk 17, tulikuwa tunawaambia humu thamani ya pesa yao si ya kweli kulingana na uchumi wao wakawa wanabisha, sasa itaporomoka mpaka kufikia 1ths = 2ksh few years to come, ona hadi rahaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2586390
17.1 angalia rates za BOT vzr 🤣🤣🤣 from 23 next week usishangae kuskia 16
 
Wakenya si wajinga. Wanadai haki zao na serikali italazimika kuwalipa.

Haya turudi hapa bongolala.

Sisi ni mfano wa ng'ombe aliyekonda tunakamuliwa maziwa hatuna nguvu hata yakurusha teke.

Tuache kuvuta mdomo Tanzania ni nchi masikini sana.

Fahamu hilo wewe kijana wa hivyo wa Dar es Salaam
Una mdomo mchafu

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Beberu analalamika kwann tumekataa yeye kutuexploit?kwahyo ni haki yao kutuexpoilt katika ardhi yetu na wananafasi ya kulalamika tulikaataa na kuzuia Mali zetu.. Justice za kipuuzi hizi sana

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Na hili shirika ni kama wanatafuta kila njia ya kulifilisi baada ya kuona linakuja vzr sana ndio unaanza kuskia haya na mm nawaswas hawa majirani wako nyuma ya haya matukio chunguzeni kwa umakini kwakua Air tanzania imekua tishio kubwa sana kwao
 
Na hili shirika ni kama wanatafuta kila njia ya kulifilisi baada ya kuona linakuja vzr sana ndio unaanza kuskia haya na mm nawaswas hawa majirani wako nyuma ya haya matukio chunguzeni kwa umakini kwakua Air tanzania imekua tishio kubwa sana kwao
Kazi tuliyonayo ni kubwa ,lakini ukiangalia kwa makini kuna baadhi ya sheria za kimataifa ni za kukandamiza sana

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Acha ujinga wewe tutusa.

Hapo Dar watu wengi hawana pesa yakununua chakula wanalala njaa, hasa vijana.

Ongea na majirani zako wanashinda njaa tu kama wewe.
Wewe ndio mjinga usiejua hata uandike nini,kila kinachokujia unatype unasukuma humu...hopeless kabisa

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom