Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Screenshot_20230413-162356.png
 
Lini uliniona ninalia njaa? Ndio maana nasema wewe ni kilaza tu.
Kila siku huishi kuomba washkaji pesa ya kula. Unabisha?

Mbaya zaidi washkaji zako wanategemea betting wapate pesa ya kula.

Wewe ni kijana wa hovyo sana.

Upo tayari kuvuta mdomo hapa JF halafu hapo ghetto kwako hauna unga wa mahindi wala dagaa.

Utakula wapi leo jioni?

Subiri kufa njaa tu.
 
Wakenya si wajinga. Wanadai haki zao na serikali italazimika kuwalipa.

Haya turudi hapa bongolala.

Sisi ni mfano wa ng'ombe aliyekonda tunakamuliwa maziwa hatuna nguvu hata yakurusha teke.

Tuache kuvuta mdomo Tanzania ni nchi masikini sana.

Fahamu hilo wewe kijana wa hivyo wa Dar es Salaam
MK254 hii ni id yako ya ngapi?
 
MK254 hii ni id yako ya ngapi?
Wewe kubwa jinga unasema nini?

Nakukumbusha tu, Tanzania ni moja ya nchi masikini sana.

Hapo mtaani kwako vijana wanategemea betting ili wapate pesa yakununua energy drink na mihogo ili njaa isiwauwe.

Wewe umekula mchana au unapiga pasi ndefu?
 
Wewe kubwa jinga unasema nini?

Nakukumbusha tu, Tanzania ni moja ya nchi masikini sana.

Hapo mtaani kwako vijana wanategemea betting ili wapate pesa yakununua energy drink na mihogo ili njaa isiwauwe.

Wewe umekula mchana au unapiga pasi ndefu?
Unatusimulia maisha yako?

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Kila siku huishi kuomba washkaji pesa ya kula. Unabisha?

Mbaya zaidi washkaji zako wanategemea betting wapate pesa ya kula.

Wewe ni kijana wa hovyo sana.

Upo tayari kuvuta mdomo hapa JF halafu hapo ghetto kwako hauna unga wa mahindi wala dagaa.

Utakula wapi leo jioni?

Subiri kufa njaa tu.
Wewe kilaza hujui uongealo. Ni mtu wa kukupotezea tu.
 
Bro achana nae huyo anatupotezea muda kujadili mambo ya msingi
Wewe ni hamnazo.

Jambo gani la msingi unaloweza kufanya hapo Dar es Salaam zaidi ya betting na kunywa energy drink na mihogo?

Kila aina ya taarifa na vyanzo vyake vimewekwa humu kuthibitisha Nairobi inaipita mbali kwa maendeleo Dar es Salaam.

Unataka kulinganisha Kenya yenye GDP usd117 billion na Tanzania usd71 billion.

Unakichaa wewe?

Tanzania tumewapita Kenya kuvuta midomo tu.
 
Unatusimulia maisha yako?

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Data hazidanganyi.

Tanzania bado ni moja ya nchi zenye chumi dhaifu zaidi duniani.

Hiyo maana yake Watanzania hawana pesa yakununu chakula. Kwa maana rahisi kabisa watanzania wanashinda njaa, hasa vijana wakazi wa mjini.

Wewe inawezekana huna uhakika wakupata chochote kitu leo jioni lakini unavuta mdogo kama Aisha ngedere w hapa kwa mfuga panya Dar es Salaam.
 
Kwanini sasa una IDs nyingi hivi? tushike ipi?
Dada unataka kujifunza nini?

Unataka nikuonyeshe data Nairobi imeipita mbali Dar es Salaam kwa maendeleo?

Inabidi useme unataka kukunwa wapi ili nifahamu.

Vinginevyo siwezi fahamu.
 
Back
Top Bottom