joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
CAG ametaja mradi wa LOT ya 3 Makutupora-Tabora na LOT 4. Sasa ujenzi wa lots hizo zimesainiwa lini? wewe ni mzima kweli upstairs?Nimeleta mara ngapi? Si ulipewa tovuti ya Ofisi ya CAG ingia utaona au soma vyombo vya habari.
Siwezi kujichosha na mtu anafanya mzaha.
Departure lounge ya JKIA ipo nje, abiria wanasubiri ku board wakiwa nje








Mpaka Ruto atoke madarakani itakuaMpaka next week tutakuwa na rate ya 16
View attachment 2584637
Iligeuka mtu baada ya interests za Sukumagangs kuguswa!
Majirani wamefilisika kama GhanaUkweli unaanza kujulikana.. na bado
Naona maumivu ya kukosa mshahara kweny hii comment 😆..usual tanzanians idling here all day glorifying nonsense.....Enyewe umbeya nayo mmeshinda
Tena kabla ya trh 25, miaka nenda rudi sijawahi kusikia serikali ya Tanzania imeshindwa kulipa mishahara and mind u civil servants wa Tz wanalipwa pesa nyingi kuliko wa nchi zote EA na pia ni wengi kuliko nchi zote ukanda huuNaona maumivu ya kukosa mshahara kweny hii comment..
anyway at least tunapiga umbea tukiwa tumeshalipwa mishahara..









Angalia wenzako jichoboi 😂Hebu tuambie baada ya protest for Ugali from Ruto umejisikiaje?
Turudi kwenye uzi wetu, coz me naona tunapoteza tu focus ya uzi wetu.Mkuu, mjadala wa aina hii uwa unachosha sana. Sidhani Kama unatenda haki kuchangia jambo ambalo huna uhakika nalo, hili ni tatizo kubwa Sana kwa sisi watu wa Dunia ya tatu(third world), ulipaswa kuuliza swali, "Kwanini bunge lilikataa kushirikiana na CAG?, Ili ujue sababu ndio uendelee kuchangia.
Bunge lilikataa kushirikiana na CAG kutokana na CAG kusema kwamba bunge ni "dhahifu" katika mahojiano yake na BBC alipokua ziarani Uingereza, Spika Ndugai alichukulia kauli hiyo Kama ni dharau kwa bunge, akamuita CAG kwenda kujieleza mbele ya kamati ya nidhamu na maadili ya bunge, kamati ilikubaliana na Spika na kumtia hatiani CAG kwa kulidharau na kulidhalilisha bunge, wakamtaka CAG kufuta kauli yake na kuliomba msamaha bunge, CAG alishikilia msimamo wake na kukataa kuomba msamaha, ndipo bunge likachukua uamuzi wa kumuandikia barua rais kumjulisha kusitisha kufanya kazi na CAG.
Sasa endelea na mchango wako....
Sasa unalia lia nini wewe nyang'au?usual tanzanians idling here all day glorifying nonsense.....Enyewe umbeya nayo mmeshinda
Eti sehem unayofanya kazi
Wew si dalali wa mabati? Au unabisha? Nikuumbue



Hajabisha mpk mda huu naenda kulala 😄
Huwa sijadili ujinga,kwani kama Mimi ni dalali inanipunguzia nini na wewe unaongezewa nini?Hajabisha mpk mda huu naenda kulala 😄
CAG ametaja mradi wa LOT ya 3 Makutupora-Tabora na LOT 4. Sasa ujenzi wa lots hizo zimesainiwa lini? wewe ni mzima kweli upstairs?
Lot 3 imesainiwa December 2021 na Samia na wakina mbarawa ambao Magufuli aliwatimua. na by December 2021 Magufuli alishakufa zaidi ya miezi 8. Unamuhusishaje na ujinga wenu mliosign? wewe ni mzima kweli upstairs?
Angalia wenzako jichoboi 😂