ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,268
Watanzania wanazidi kuchekea Kwa ajira kede kede huku Wakunya wakilia
Huyo msichana ni mjinga sana bro!Sijaona kitu cha ajabu hapo.
Kenyans are embarrassing Africa.
When will Ruto distribute the ugali?
Mkuu, mbona unayumba Sana katika kujenga hoja zako?, hivi mchakato wa bandari ya Bagamoyo si ulianzishwa na Kikwete, mbona Magufuli alipoingia madarakani alipoona haridhiki nao aliusimamisha?.Mchakato wa kusaka contractor na mkopo ulianzishwa na Serikali ya Magu ,Serikali ya Magufuli ilishakuwa imeji commit kwenye masharti ya kindezi tokea kutafuta financier ambae alishawapa masharti ya Wakandarasi wake..
Kadogosa ni appointee wa nani?Japo hawa pia Mwigulu,Mbarawa ni wahusika wakuu kumshawishi Rais akubali tender ya kindezi washtakiwe.
Ndugu achana nao hao. Tunawajua lengo lao.Mkuu, mbona unayumba Sana katika kujenga hoja zako?, hivi mchakato wa bandari ya Bagamoyo si ulianzishwa na Kikwete, mbona Magufuli alipoingia madarakani alipoona haridhiki nao aliusimamisha?.
Mkuu, tuache sababu zisizokua na msingi, mara tu rais anapokula kiapo, Kila kitu kinakua chini yake, hii tabia ya kulaumu na kulalamikia utawala uliopita ni dalili ya kushindwa kazi, hiyo tabia tuwaachie wakenya, tusiige tabia za wakenya, tutakwama.
Ndani ndio imejaa so hakuna space,Departure lounge ya JKIA ipo nje, abiria wanasubiri ku board wakiwa njeView attachment 2584738View attachment 2584740View attachment 2584741
Umesoma conclusion yangu?Mkuu, mbona unayumba Sana katika kujenga hoja zako?, hivi mchakato wa bandari ya Bagamoyo si ulianzishwa na Kikwete, mbona Magufuli alipoingia madarakani alipoona haridhiki nao aliusimamisha?.
Mkuu, tuache sababu zisizokua na msingi, mara tu rais anapokula kiapo, Kila kitu kinakua chini yake, hii tabia ya kulaumu na kulalamikia utawala uliopita ni dalili ya kushindwa kazi, hiyo tabia tuwaachie wakenya, tusiige tabia za wakenya, tutakwama.
Imejaa kwa ndege tatuNdani ndio imejaa so hakuna space,
Ama mnadhani jkia ni iyo empty she'll yenu with less than 2m passengers.






Mzee tulia hivyo hivyo. Nakuhakikishia lengo lenu haliwezi timia.Umesoma conclusion yangu?
Lengo gani? Wewe uko upande gani?Mzee tulia hivyo hivyo. Nakuhakikishia lengo lenu haliwezi timia.
Kuna muda Usipoteze Mudawako Kuwajibu Wajinga na wapuuziMkuu, mbona unayumba Sana katika kujenga hoja zako?, hivi mchakato wa bandari ya Bagamoyo si ulianzishwa na Kikwete, mbona Magufuli alipoingia madarakani alipoona haridhiki nao aliusimamisha?.
Mkuu, tuache sababu zisizokua na msingi, mara tu rais anapokula kiapo, Kila kitu kinakua chini yake, hii tabia ya kulaumu na kulalamikia utawala uliopita ni dalili ya kushindwa kazi, hiyo tabia tuwaachie wakenya, tusiige tabia za wakenya, tutakwama.
Comments zinajionesha hakuna haja ya kuongea zaidi.Lengo gani? Wewe uko upande gani?
Watu wanataka uwajibikaji wewe unaleta hadithi sijui za wapi na kutunga tunga vitu vya dhahania.Comments zinajionesha hakuna haja ya kuongea zaidi.
Nimesoma comment Yako iliyofutwa na mods.Mkuu, mbona unayumba Sana katika kujenga hoja zako?, hivi mchakato wa bandari ya Bagamoyo si ulianzishwa na Kikwete, mbona Magufuli alipoingia madarakani alipoona haridhiki nao aliusimamisha?.
Mkuu, tuache sababu zisizokua na msingi, mara tu rais anapokula kiapo, Kila kitu kinakua chini yake, hii tabia ya kulaumu na kulalamikia utawala uliopita ni dalili ya kushindwa kazi, hiyo tabia tuwaachie wakenya, tusiige tabia za wakenya, tutakwama.