Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sijauliza kwamba ni constitution au hapana, niliuliza sababu iliyosababisha kutomteua Tena.

Nadhani unajua kwamba CAG alikua na mgogoro mkubwa na bunge, jambo lililosababisha bunge kukataa kushirikiana na CAG.

Kumbuka kazi ya CAG ni kuangalia Kama kweli serikali inatumia pesa na rasilimali za nchi Kama ilivyoelekezwa na bunge, ripoti yake lazima ipelekwe bungeni kufanyiwa kazi na wabunge kwa kufuata maoni na mapendekezo ya CAG. Kama bunge limekataa kufanyakazi na CAG, kweli ni busara huyo CAG kuendelea kuwepo?.

Kwasababu CAG ni mteule wa rais, katika mazingira hayo ya "stalemate", ungemshauri rais afanye nini Ili kazi za kuisimamia serikali ziendelee?.
Mzee wewe noma mpaka ufafanuzi wa kisheria unaubishia! Kuna vitu ukiwa na uelewa timamu na unasimamia maslahi mapana ya nchi huwezi kuvifumbia macho! Pita kulee... Na Mkabila wako!
 
Swali hapa la kujiuliza ni hili, kwanini Bunge linakataa kufanya kazi na CAG wakati tu CAG katoa report yake inayoonesha kuna upotevu wa matrilioni Serikalini? Je ni kazi ya Bunge kuitetea Serikali au kuiwajibisha kwa kufuata maelekezo ya CAG?
Nchi yetu Ina wanafaki wengi na Watzn Kwa asili ni waroho wa pesa na hawawezi kufanya jambo la pamoja.

Hapo unakuta kundi Fulani la wabunge wamelambishwa asali Ili kusafisha serikali lakini pia structure ya Bunge haiwezi kufanya lolote Kwa Serikali,na mwisho wenye chama Chao Huwa ni wanufaika wa wizi Kwa hiyo technically hakuna wa kumnyooshea kidole.

Ndio maana wakimuandama Kiongozi Fulani Huwa ni vita za Kisiasa binafsi kuliko maslahi ya Umma..

So fanya Yako Watz hawaaminiki sana labda Wapinzani wangekuwa wengi..
 
Sijauliza kwamba ni constitution au hapana, niliuliza sababu iliyosababisha kutomteua Tena.

Nadhani unajua kwamba CAG alikua na mgogoro mkubwa na bunge, jambo lililosababisha bunge kukataa kushirikiana na CAG.

Kumbuka kazi ya CAG ni kuangalia Kama kweli serikali inatumia pesa na rasilimali za nchi Kama ilivyoelekezwa na bunge, ripoti yake lazima ipelekwe bungeni kufanyiwa kazi na wabunge kwa kufuata maoni na mapendekezo ya CAG. Kama bunge limekataa kufanyakazi na CAG, kweli ni busara huyo CAG kuendelea kuwepo?.

Kwasababu CAG ni mteule wa rais, katika mazingira hayo ya "stalemate", ungemshauri rais afanye nini Ili kazi za kuisimamia serikali ziendelee?.
Unataka CAG awe anaripoti kile ambacho Wabunge wanapenda? Hakuna mtu mtoto hapa kwamba eti Bunge likikataa jambo ambalo liko kisheria Hilo linawezekanaje?

Na nakumbuka Hilo lilikuja baada ya Assad kusema Bunge ni Dhaifu kuweza Kuiwajibisha Serikali na pia kuripoti upigaji wa 1.5T plus Mabilioni aliyoiba Ndugai in the name of Matibabu India..

Ndio zengwe likatunga ambalo kiufupi ni loophole nzuri ya kumuondo Assad na sio vinginevyo..

Bunge lilisema halitafanya kazi na Prof .Assad na sio Ofisi ya CAG Kwa sababu kufanya kazi na CAG kama Ofisi ni takwa la kisheria..
 
Watu wako obsessed na kenya hapa, hadi jina . Hizi attentions mnazitafta kutoka kwa wakenya hamuezi zipata hapa. Hapa kuna wakenya 5 tu amabao huchangia jf na hawapo active vile
kwani inakuuma nakuona unakereka sanaaaa unawashwa ety
 
Frt3jPSXwAEAWBj.jpg

ASE ili dude ni hatari sana kwa usalama wa kenya coz linatisha ati
 

Attachments

  • FB_IMG_1681067596269.jpg
    FB_IMG_1681067596269.jpg
    163.3 KB · Views: 17
Akina Zito na genge lake Msikilizeni Mtendaji Mkuu wa TaNRoads hapa akisema kile nilijibu hapo kwamba pesa zililipia madeni ya miradi inayoendelea..

 
Back
Top Bottom