Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Kwa yeyote yule ambae aliwahi kumpinga Magufuli hayuko sawa kichwani .. huwezi kuwa na akili timamu Halaf eti ulikua unapinga utawala wa JPMMm wanielewe au wasinielewe wananifahamu msimamo wangu tangu 2017 sijawahi badilisha linapokuja suala la Mwendazake Kwa sababu sijawahi mkubali ila simchukii but wao wanamuona ni Malaika wao hajawahi kosea ni immortal šš
Kama ubaya au wizi wake ni kujenga bwawa la JNHP, kujenga SGR, kununua Ndege, kujenga mabarabara nchi nzima, kujenga flyovers, kujenga zahanati, vituo vya Afya na hospitali, kujenga na kurekebisha airports zote nchini, kupanua bandari na kujenga bandari mpya za kutosha, kurekebisha na kujenga vivuko na meli, kurekebisha shule kongwe nchi nzima, kuijenga DODOMA yote kwa miradi lukuki pamoja na ule mradi wa mji wa serikali, kuirudisha nidhamu serikalini, kujenga flyovers DSM namirad ya DMDP, kuanzisha miradi ya ULGSP nchi nzima.. kama huu ndio ulikua ni wizi wake basi nitachagua kuibiwa na JPM milele, kama huu ndio ufisadi alifanya nitachagua kuendelea na ufisadi huu
Wewe mbwa kummko tunakujueni nyinyi opportunists .. mlivyopigwa pini mkachagua kumtukana huyu mzalendo wa kweli wa hili taifa,
Huu Uzi usingekua na maana yoyote kama si Magufuli ..
Kaeni kimya nyie vima

