Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na inaonesha tunapanda kwa alama nne tupo vzr sana kwakweli 👏👏👏👏🇹🇿🇹🇿
Simba na Yanga zote zikivuka hatua ya robo fainali na kuingia nusu fainali, tutakuwa juu ya DR Congo. Club moja ikishindwa kuingia nusu failani tutashindwa kumpita Congo, mpk zote mbili zivuke. Nitarud hapa kama zote zitafanikiwa kuvuka QF mwaka huu
 
Ni ranks zinazotumiwa na CAF katika kuamua nchi iingize timu (clubs) ngapi kwenye mashindano ya CAF (CAFCC na CAFCL).. associations (nchi) ambazo ziko namba 1 hadi 12 zinaingiza clubs 2, both CAFCL na CAFCC, na zilizoko chin ya 12 zinaingia club moja moja. Pia zinatumika kwenye ishu ya draw au seedings (upangaji wa timu kubwa hadi ndogo kulingana na matokeo yao miaka 5 nyuma kwenye hayo mashindano)

View attachment 2575665

View attachment 2575663
Hapo nmeelewa mana ilikuwa inanichanganya.
 
They say Nairobi food tastes the same as the food back in the US or the foods country of origin.. this is so unlike Tanzanias food which does not taste the same as advertised.
Dar is cheaper than Nairobi hadi kwa taxi.
They aslo said Nairobis roads are better and more modern. Wamesema barabara za lami Nairobi zimejaa kila corner na bado mahali wanaishi hawajaweza kupatana na barabara ya matope unlike dar-is-a-slum ambapo wamesema ukitoka kwa major roads hizo barabara za kuingia ndani ya makaazi ni za matope.
Wamesema kuwa Nairobi imejengeka vizuri na ni modern skycrapers unlike Dar ambayo maendeleo ni machache,,nyumba nzuri ni chache mno na kuna traditional feel ukiwa Dar....
Kwamba dar kuna barabara za matope?
Acha utani...Mi nakubaliana na mawazo Yao..Hata nikipata nafasi ya Kuja Nairobi sitodeal sana na madhaifu yenu...ntaangalia zaidi vitu vizuri cause sipatani na vitu vibovu...

Huwezi ilaumu Dar kwasababu ya weather ,Lami kuweka kila sehemu sio jambo ya mchezo unajua..Inahitaji fungu refu

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
I'm pretty sure if they'd the opportunity to visit Kibera, they'd have a different opinion. Mind you, there are 52 weeks in one year, they just didn't have enough time to see for themselves how filthy Nairobi is.
you people with your fantasies. Why will they visit kibera? Niko sure huo mwaka mzima wamekaa dar hawajatembelea maeneo kama tandale na manzese.
Kubali hata kama inauma, Nairobi is more appealing to foreigners than dar
 
Maneno za kujicomfort peleka Tandale uswazini. Unataka kutuaminisha kwamba miji kama Arusha na Mwanza hazijakuwa na uhitaji ya interchanges kama hizo?

You can't go talking ill about another person's development projects yet you lack the same even in areas that need them. Wivuuu!!
Walikuwa wanasema hivo wakati Dar hakujajengwa interchange. Sahii wamejenga kidogo wanashinda wakiboast Nazo humu. Wee ngoja, Ile siku wataijenga kwa miji midogo hutoskia tena hayo ya kupark G-Wagon nje ya nyumba ya nyasi. Tumewazoea hivo.🤣
 
you people with your fantasies. Why will they visit kibera? Niko sure huo mwaka mzima wamekaa dar hawajatembelea maeneo kama tandale na manzese.
Kubali hata kama inauma, Nairobi is more appealing to foreigners than dar
Shida ni kwamba Tz hamuijui, mtu mwenye akili timamu unaweza kuitaja Tandale na Manzese pamoja na Kibera kwenye sentensi moja?
 
Na ukiachana na electric asilimia 90 gari zinazofanya uber au bolt au taxi zinatumia gas 👇





Umehepa Electric Vehicles cause unajua ni uongo 😅
And when it comes to LPG cabs, we were doing it before you figured out it could be done bruh
4E34558A-FC9E-431B-A032-45500BB79E84.jpeg
 
Kwamba dar kuna barabara za matope?
Acha utani...Mi nakubaliana na mawazo Yao..Hata nikipata nafasi ya Kuja Nairobi sitodeal sana na madhaifu yenu...ntaangalia zaidi vitu vizuri cause sipatani na vitu vibovu...

Huwezi ilaumu Dar kwasababu ya weather ,Lami kuweka kila sehemu sio jambo ya mchezo unajua..Inahitaji fungu refu

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
untarmaked roads, za mchanga zimejaa Dar hao ndo wamesema. Nairobi wanasema mahali wanaishi hawajaweza kupatana na barabara bila lami hadi saa hii.
Also wanafananisha development Nairobi na western cities unlike Dar ambayo haijajengeka
Hawa ni waamerika hawajui kuna mashindano kati ya dar na nairobi ni mawazo yao binafsi wanayasema bila kulegea upande wowote.
 
you people with your fantasies. Why will they visit kibera? Niko sure huo mwaka mzima wamekaa dar hawajatembelea maeneo kama tandale na manzese.
Kubali hata kama inauma, Nairobi is more appealing to foreigners than dar
Kitu kikubwa wageni wanapenda Nairobi kwa my observations ni kwamba Nairobi wazungumzaji wa English ni wengi kuliko Dar hivyo kuwawia rahisi kujichanganya na kufeel included kwenye society ni sawa wewe utoke Kenya uende China au Russia of course language barrier itakufanya ujihisi excluded kwenye society

Sasa hiyo sio shida yetu na sisi wenyewe tunapenda iwe hivyo sababu kwanza tunakua unique na tunajuana na hii imesaidia zaidi Tanzania kutovamiwa hovyo na malicious immigrants kutoka west Africa na kwengine
 
Kitu kikubwa wageni wanapenda Nairobi kwa my observations ni kwamba Nairobi wazungumzaji wa English ni wengi kuliko Dar hivyo kuwawia rahisi kujichanganya na kufeel included kwenye society ni sawa wewe utoke Kenya uende China au Russia of course language barrier itakufanya ujihisi excluded kwenye society

Sasa hiyo sio shida yetu na sisi wenyewe tunapenda iwe hivyo sababu kwanza tunakua unique na tunajuana na hii imesaidia zaidi Tanzania kutovamiwa hovyo na malicious immigrants kutoka west Africa na kwengine
Kama umetazama hio video hamna mahali wamezungumzia lugha
 
Walikuwa wanasema hivo wakati Dar hakujajengwa interchange. Sahii wamejenga kidogo wanashinda wakiboast Nazo humu. Wee ngoja, Ile siku wataijenga kwa miji midogo hutoskia tena hayo ya kupark G-Wagon nje ya nyumba ya nyasi. Tumewazoea hivo.🤣
Hawa ni wivu inawasumbua. Tukifanya maendeleo yetu eti ni waste of money wakati wao hawana hata chembe cha maendeleo wanaokejeli.

Magufuli alipojenga airport kijijini kwao that serves no purpose walikuwa wapi?
 
Hawa ni wivu inawasumbua. Tukifanya maendeleo yetu eti ni waste of money wakati wao hawana hata chembe cha maendeleo wanaokejeli.

Magufuli alipojenga airport kijijini kwao that serves no purpose walikuwa wapi?
Aliekwambia airport ya chato haina kazi nani ww hujui kama chato kuna national park na na chato airport ita serve mpaka watu wote wa geita kwenye madini etc

Ww tanzania huijui alaf unajifanya mjuaji🤣
 
Aliekwambia airport ya chato haina kazi nani ww hujui kama chato kuna national park na na chato airport ita serve mpaka watu wote wa geita kwenye madini eti
Ww tanzania huijui alaf unajifanya mjuaji🤣

Tuambie ni ndege ngapi zinatua huko kwa siku with evidence
 
Back
Top Bottom