ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Huwez kwenda kujenga ahero interchange wakat nchi ina mahitaj kibao ambayo ni muhimu ndio maana projects zenu nyingi hua zinageuka kua white 🐘 na zimetumia pesa nyingi za mikono😆😆😆Hawa ni wivu inawasumbua. Tukifanya maendeleo yetu eti ni waste of money wakati wao hawana hata chembe cha maendeleo wanaokejeli.
Magufuli alipojenga airport kijijini kwao that serves no purpose walikuwa wapi?
Ahero mm hua napita nikitoka nakuru kuja kisumu au nikitoka migori kuja kisumu maeneo hayo nayajua sana yani hapahitajiki interchange yoyote hata kwa miaka 20 ijayo
Nchi inashida kila sehem alaf still unaenda kupoteza kujenga lamu port kwa mikopo na interchange ambazo hazitakua na faida even 30 yrs to come
