Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Maneno za kujicomfort peleka Tandale uswazini. Unataka kutuaminisha kwamba miji kama Arusha na Mwanza hazijakuwa na uhitaji ya interchanges kama hizo?

You can't go talking ill about another person's development projects yet you lack the same even in areas that need them. Wivuuu!!
Mwanza kwa sasa inauhitaji wa interchange na iko inajengwa maeneo ya usagara na hii ni main arterial road ya kuingia mwanza. Sasa hapo Aehero sijui kuna nini na traffic kiasi gani ku justify hiyo infrastructure it is just laughable kujitwika mizigo ya madeni wakati its need wont be there for the next 40 years.
 
You don't even know what's happening in your own country and you are busy talking about Kenya
It shall never stand hiyo ni wishful thinking ya politicians tuu.

Tanzanians are very sensitive on public services and infrastructure and serikali yetu ni sikivu sana.
 
Wamekua fair kusema a little bit more..hakuna huge difference, kuhusu weather huwezi ilaumu Dar ni coastal city,Kuhusu Vyakula ni sahihi kabisa Unless kama unataka izo taste zimatch uende kwenye hotel kubwa kubwa,
Wangechimba usalama mngelamba zero, wangegusa huduma za kijamii pia mngelamba Buyu...mnabahati sana wakenya

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Tanzania sasa ni ya 11 na inaendelea kupanda according to CAF 👇👇👇👇
Screenshots_2023-04-03-22-49-38.png
 
Wamekua fair kusema a little bit more..hakuna huge difference, kuhusu weather huwezi ilaumu Dar ni coastal city,Kuhusu Vyakula ni sahihi kabisa Unless kama unataka izo taste zimatch uende kwenye hotel kubwa kubwa,
Wangechimba usalama mngelamba zero, wangegusa huduma za kijamii pia mngelamba Buyu...mnabahati sana wakenya

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
they are so non-partisan.. wameishi both cities so they know what they are saying
 
Wamekua fair kusema a little bit more..hakuna huge difference, kuhusu weather huwezi ilaumu Dar ni coastal city,Kuhusu Vyakula ni sahihi kabisa Unless kama unataka izo taste zimatch uende kwenye hotel kubwa kubwa,
Wangechimba usalama mngelamba zero, wangegusa huduma za kijamii pia mngelamba Buyu...mnabahati sana wakenya

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
They say Nairobi food tastes the same as the food back in the US or the foods country of origin.. this is so unlike Tanzanias food which does not taste the same as advertised.
Dar is cheaper than Nairobi hadi kwa taxi.
They aslo said Nairobis roads are better and more modern. Wamesema barabara za lami Nairobi zimejaa kila corner na bado mahali wanaishi hawajaweza kupatana na barabara ya matope unlike dar-is-a-slum ambapo wamesema ukitoka kwa major roads hizo barabara za kuingia ndani ya makaazi ni za matope.
Wamesema kuwa Nairobi imejengeka vizuri na ni modern skycrapers unlike Dar ambayo maendeleo ni machache,,nyumba nzuri ni chache mno na kuna traditional feel ukiwa Dar....
 
They say Nairobi food tastes the same as the food back in the US or the foods country of origin.. this is so unlike Tanzanias food which does not taste the same as advertised.
Dar is cheaper than Nairobi hadi kwa taxi.
They aslo said Nairobis roads are better and more modern. Wamesema barabara za lami Nairobi zimejaa kila corner na bado mahali wanaishi hawajaweza kupatana na barabara ya matope unlike dar-is-a-slum ambapo wamesema ukitoka kwa major roads hizo barabara za kuingia ndani ya makaazi ni za matope.
Wamesema kuwa Nairobi imejengeka vizuri na ni modern skycrapers unlike Dar ambayo maendeleo ni machache,,nyumba nzuri ni chache mno na kuna traditional feel ukiwa Dar....
Wametembelea Mathare?
 
Back
Top Bottom