Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

This pic says alot abt the life of 'kenyan politician' and 'kenyan citizen'View attachment 2575304
You chose to show that picture forgetting that jiji lenu ni uswazi mwanzo mwisho. You forgot that on the same day he passed through Eastleigh but you couldn't show these for obvious reasons
images - 2023-04-03T191519.265.jpeg
images - 2023-04-03T191552.060.jpeg
 
[emoji1][emoji1] Inabidi tukubalien twende mwaka kwa mwaka, na si kwa tar kwa tar,
Yan kwakuwa tupo mwaka 2023, basi posts zote za 2021 mpk 2023 zikubalike mana ni 2 yrs ago.. ila kuanzia 2020 kwenda chin ziwe invalid mana ni more than 3 yrs ago. Lets go
Hii ya 2021.
Screenshot_20230403-181945.jpg
 
Ebhn eehh hii ndiyo iliyorusha teargas kwa speed kubwa namna ile?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Locally improvised crowd/ GSU control munition [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kenyans need to patent it.
 
Maneno za kujicomfort peleka Tandale uswazini. Unataka kutuaminisha kwamba miji kama Arusha na Mwanza hazijakuwa na uhitaji ya interchanges kama hizo?

You can't go talking ill about another person's development projects yet you lack the same even in areas that need them. Wivuuu!!
Hiyo ni sawa na unakaa kwenye nyumba ya nyasi lakini nje umepaki G wagon na watoto hawaendi shule.

Talking about Arusha we constructed dual carriageway and Arusha town bypass due to increased traffic. This dual carriageway will connect Arusha and Moshi as denands picks up.
 
Back
Top Bottom