Three level ina maana kuvunja ile flyover na space hamna kumbuka kuna SGR overpass Mandela road halafu junction ya Uhuru road Buguruni! Mimi naongelea kitu practible yaani hizo lanes za BRT Mandela na Nyerere kuwa na extra 2 Lanes to n fro katika BRT lane karibu na junction say kutokea airport inayoenda underground na kuibukia Mandela road BRT lane n vice versa!Nahisi kama ni suala la tunnel ilitakiwa ianze kabla ya ujenzi wa BRT phase 3 ila kwa sasa sina hakika kama litawezekana unless wapate akili ya kuweka three level interchange
Hivi Mbarawa haoni tatizo linalokuja pale TAZARA junction baada ya BRT kuanza ku-operate? Hivi ina-cost kiasi gani kuipitisha mabasi ya mwendokasi juu kwa kujenga daraja kama la magari yanayoenda airport au kujenga tunnel? Ni kukosa maarifa ama?
For sure ile Tazara junction with brt itakuwa ni shida sana kwa motorists. Ingefaa aidha wantanyue barabara along mandela road ili ipite juu ya mfugale flyover yani iwe kama ubungo interchange au wa raise brt lane to the level ya mfugale flyoverTunnel pia inawezekana kujengwa kuunganisha na Mandela road yaani mabasi ya BRT yanayotoka Nyerere Road na kwenda Mandela road na vice verse! wakati ya moja kwa moja daraja lijengwe katikati kuunganishwa na yale mawili yaliyopo!
Waliomaliza top wote ni wamoto bola ukutana Al ahly kuliko visanga vingine.
Embu tutofautishe kati ya zabuni za kujenga reli na hiyo iliyozungumziwa ya manunuzi ya rolling stock.sasa wale wajuaji waje kujibu humu! maana walipinga hili! Nakumbuka yule mama alishupalia utaratibu kufuatwa akapuuzwa!
![]()
![]()
CC: joto la jiwe
Wale waliokuwa wanamtetea Masanja na kugawa tender bila ya kufuata sheria za manunuzi eti zinatuchelewesha, wako wapi? Masanja na genge lake la Sukumagangs wanapaswa kutoka TRC wanaota pembe sasa na kuingia mikataba inayoisababishia serikali hasara!
Kiwanda cha mbolea dodoma 👇👇
Mkuu, nimekutajia maeneo mengi ambayo yametajwa na CAG kuwa yamepoteza pezaUsukumagang lazma uhusishwe! Angalia waliokuwa wanatetea sheria za manunuzi kuvurugwa! Hata ATCL angalia wahusika vizuri na kumbuka mwendazake alikuwa anawafumbia macho!
Ujenzi wa reli na ununuzi wa rolling stocks zote ni zabuni! Uvunjaji wa taratibu za ununuzi haukuanza kwenye ujenzi wa SGR tu bali hata ununuzi wa rolling stocks na Mwendazake hakusema kitu na taasisi husika hazikuweza kuwabana!Embu tutofautishe kati ya zabuni za kujenga reli na hiyo iliyozungumziwa ya manunuzi ya rolling stock.
According to habari hii hapo juu Yapi Merkez anatoka wapi? Vichwa vinenunuliwa Hyundai Rotem na vile vya used 2 electric locomotives ambapo hatujui bei zake halisi. Behewa nyingine zimenunuliwa Sung Shin Rolling stock ambazo tayari zineshaanza kuingia nchini.
Tunataka kuona mama anawaadhibu hawa wote bila huruma, ikiwemo warudishe hizi pesa, akishindwa tuite nini?, Kama kosa la kutoa tender lilifanywa na Sukuma gang, Je kosa la kutowachukulia hatua linafanywa na" gang" lipi?Ujenzi wa reli na ununuzi wa rolling stocks zote ni zabuni! Uvunjaji wa taratibu za ununuzi haukuanza kwenye ujenzi wa SGR tu bali hata ununuzi wa rolling stocks na Mwendazake hakusema kitu na taasisi husika hazikuweza kuwabana!
unajua nadhani huna uelewa wa untouchables wa Sukumagang walivyokuwa hawawezi kuguswa kwenye taasisi!Tunataka kuona mama anawaadhibu hawa wote bila huruma, ikiwemo warudishe hizi pesa, akishindwa tuite nini?, Kama kosa la kutoa tender lilifanywa na Sukuma gang, Je kosa la kutowachukulia hatua linafanywa na" gang" lipi?