Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nyang'au mje na huku kujifunza the rule of law!
mwaka huu kuna watu wengi wanang'oka! Na lazima wango'oke! Tuemwachoka na ubinafsi wao!

Mama anakiwasha Kwa fujo zisizo umiza!!
Mkuu,haya matamko siyo mara ya kwanza na hayatakuwa ya mwisho,ni maneno yasiyokuwa na vitendo.

Wezi serikalini ndio hao hao wafadhili wa wanasiasa, ni porojo kutuhadaa sisi wananchi ili tuendelee kutawaliwa kirahisi.

Hakuna jipya hawatafanywa chochote wataendelea kula kwa urefu wa kamba zao zilizoko shingoni na miguuni.
 
Kenya ditching the US dollar for our local currency wise move the start of returning our glory [emoji4]

Mbona huhitaji akili kubwa kujua hili, mkinunua oil UAE kwa kes ni hiyo hiyo kes yenu wataitumia kununulia chai yenu, maana yake hamtapata $ through tea from UAE exports, local currency must have two way traffic pertaining international trading! this will favor UAE mostly
 
Hivi Mbarawa haoni tatizo linalokuja pale TAZARA junction baada ya BRT kuanza ku-operate? Hivi ina-cost kiasi gani kuipitisha mabasi ya mwendokasi juu kwa kujenga daraja kama la magari yanayoenda airport au kujenga tunnel? Ni kukosa maarifa ama?

 
Sana nakutama nazo tiktok na twitter [emoji38][emoji38]
Mtu karusha teargas kwa mkono ikakimbia kama imerushwa na chombo husika na ikawapata askari, hawa jamaa ni kituko wallahi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
hivi Mbarawa haoni tatizo linalokuja pale TAZARA junction baada ya BRT kuanza ku-operate? Hivi ina-cost kiasi gani kuipitisha BRT juu kama magari yanayoenda airport? Ni kukosa maarifa ama?
Huyo hana lolote na wala sio mbunifu, no wonder Magufuli alimtimua ofisini, hana faida yoyote zaidi tu ya kusema "nimeridhishwa na mradi huu" hata kama mradi uko hovyo, pale tazara kama angekuwa mbunifu ilipaswa BRT ipite underground zen gari zipite juu bila kuingiliana na BRT au BRT ipite juu kama unavyosema.

Viongozi kama hawa ni mizigo inayo licost taifa, huko mbeleni tutatakiwa tubomoe baadhi ya sehemu tujenge upya kwa uwepo wa viongozi wapumbavu kama hawa.
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Umeona upumbavu wao hawa wanuka mavi, sikiza maneno yao ya kikabila. Hawa lazima wauwane tu hakuna jinsi.
Screenshot_20230402-113113.jpg
 
Hivi Mbarawa haoni tatizo linalokuja pale TAZARA junction baada ya BRT kuanza ku-operate? Hivi ina-cost kiasi gani kuipitisha mabasi ya mwendokasi juu kwa kujenga daraja kama la magari yanayoenda airport au kujenga tunnel? Ni kukosa maarifa ama?

Anzisha uzi tukufuate huko ili walifanyie kazi haraka sn kabla tax payers money hazijaharibika.
 
Back
Top Bottom