Nairobi is a lovely city.
Nairobi is a lovely city.
Si umesikia kwamba ni untouchable anawaogopa mkuu?[emoji849][emoji849][emoji848][emoji848]Mama afukize Sukuma gang waliohusika na mikataba ya kitapeli.
Sheria ya kutokuwafunga wezi wa mali ya umma au?Tanzania hakuna hiyo Sheria labda wafanye kama plea bargaining
Sijawaelewa hapa wakuu, kwamba wezi wasifungwe na kunyang'anywa pesa na mali walizoiba?Lengo ni kupata pesa zirudi, vyovyote afanye, lengo pesa irudi serikalini na watu wapate fundisho
Haya majibu huwa unayatoa wapi chief[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sio tu awafukuze, awatie ndani Ili warudishe hiyo pesa, unakumbuka Rugemarila na Seith walifanya makosa kipindi Cha Kikwete lakini Magufuli aliwatia ndani Ili warudishe pesa, hakusingizia "Msoga gang" Ili kushindwa kuchukua hatua, angekua dhahifu angejificha nyuma ya kivuli Cha "Msoga gang" Ili kuficha udhahifu wake, neno" Sukuma gang" linatumiwa na watu wanaoshindwa kufanya kazi kuficha madhahifu Yao.
Kwahiyo wamezimiwa internet [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]
KuwafilisiSheria ya kutokuwafunga wezi wa mali ya umma au?
Rudi home ukaunge mkono maandamano.Kuwafilisi
Okay. Ila ninadhani ipo labda kama hawataki kuitumia.Kuwafilisi
Kipindi cha marehemu Sokoine na mwl Nyerere nchi iliwaka moto kwasababu ya wahujumu uchumi, hata sasa hivi wakiamua inawezekana.Kuwafilisi