joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Hivi Sasa mama ndiye aliyeshika usukani, akishindwa huo ni udhahifu wake na atakua hiyo nafasi hatoshi.unajua nadhani huna uelewa wa untouchables wa Sukumagang walivyokuwa hawawezi kuguswa kwenye taasisi!
Mkuu, hakuna excuse yoyote kwa mama kushindwa kurekebisha haya mambo, neno "Sukuma gang" linatumika kuficha udhahifu wa viongozi wa Sasa, hakuna hicho kitu mkuu.