Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Beautiful 😍
20230324_163551.jpg
 
Yani $1m ndo inafanya uone mna GDP kubwa??? 1m sasa ni pesa kwa nchi yoyote? Hizo pesa hadi somalia wanaweza zitoa bila kustruggle
Aaaahhh Boss tuwe na heshima hata kidogo basi, $1m co pesa ya kitoto hiyo mkuu, nyie kwa hali mliyonayo kwa ss msingeliweza kutoa hata $500,000 usiilaumu govt yako kutoa mashuka pekee. Pia pale inapopaswa kupongeza tupongeze tuu hata kama inauma.
 
Back
Top Bottom