President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Watanzania wanateseka na hawataki kusema😂😂😂
If you don't have food, you always not happy.
Where is the report of Hungriest people in the world?
Watanzania wanateseka na hawataki kusema😂😂😂
Kenya huwa inazungumzwa Sana huku Tanzania katika mambo ya hovyo tu, Kama ambavyo Afghanistan, Yemen na Syria zinavyogonga vichwa vya habari dunianiWatanzania sasa mpo obsessed na kenya. Nyuzi zaidi ya 20 kuhusu maandamano ya kenya na hakuna hata moja imefunguliwa na mkenya
Kenyans you gonna destroy all these achievements because of your own stupidity.View attachment 2561199
Kenya and Tanzania are punching below there belt. They can do more than the 1m they are currently getting. There is more to these countries than wildlife and beaches. Just have to be creative.
Only when tribalism is eliminated in Kenya.Usijali,,,hiki kipindi kinapita tu Na mambo yatakuwa Sawa,
Hahahaha, hahahaha, hahahaha, hahahahaPolisi kala rungu kaaah
Acha ujinga
Bongolala, people picket even in the United States of America, the biggest democracy in the world. Wewe kama huwezifanya hivyo kwa kuogopa kufinywa kende zako na serikali yenu, wacha nchi ambazo wanafurahia huo uhuru wa kimsingi wafurahie uhuru waoEleza nchi zote duniani ambazo zinatawaliwa kwa haki na sheria hasa zilizoendelea, umeshaona maandamano yenye fujo na watu kupigwa hovyo na polisi?, taja nchi Moja tu.
Taja nchi yoyote hapa Afrika yenye maendeleo ya kidemokrasia na kiuchumi na usawa wa mgawanyo wa Mali na uongozi wa serikali ambayo inakumbwa na maandamano Kila mwaka.
South Afrika ni "unique" kutokana na "Economic inequalities among it's people". Kumbuka SouthAfrika ndiyo nchi inayoongoza duniani kwa "economic inequalities".
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mkuu, ukiambiwa uchague kimoja kati ya kuwa na ligi Bora au timu Bora ya taifa, unachagua kipi?Nimekuelewa kaka, tatizo halipo kwenye ligi wala kuwa na wachezaji wageni bali timu ya Taifa. Kwa hoja yako hiyo ya competence, inakuwaje nchi za Afrika Magharibi zenye ligi mbovu kuweza kufanya vizuri kwenye timu zao za taifa?
Ni nini huelewi hapo nikisema high cost of living?In other words unaffordable basic needs sio?
Ligi, kwa sababu za kiuchumi na burudani ya muda mrefu.Mkuu, ukiambiwa uchague kimoja kati ya kuwa na ligi Bora au timu Bora ya taifa, unachagua kipi?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
The pride of any country is the performance of its national team at the international stage. Timu ya taifa ndio inapeperusha bendera ya nchi. Nitajie ni wapi bendera ya Uingereza hupeperushwa Arsenal ama Man Utd wanapochezaMkuu, ukiambiwa uchague kimoja kati ya kuwa na ligi Bora au timu Bora ya taifa, unachagua kipi?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
At the expense of your national pride? 😃😃Ligi, kwa sababu za kiuchumi na burudani.
Pride goes before the fall.At the expense of your national pride? 😃😃
Huyo anataka utaje unga wakati mfaransa hajui unga ni nini! 😂😂Acha ujinga
By saying unga they actually mean general cost of living including high taxes,
Basic needs .
Kwasababu wachezaji wao wengi wanacheza nchi za nje. Chukulia nchi ya DRC na Senegal, wachezaji wao wote wa timu ya taifa hucheza ligi za Ulaya na Asia. Sababu kubwa ni historia ya muda mrefu ya michezo ya nchi hizi.Nimekuelewa kaka, tatizo halipo kwenye ligi wala kuwa na wachezaji wageni bali timu ya Taifa. Kwa hoja yako hiyo ya competence, inakuwaje nchi za Afrika Magharibi zenye ligi mbovu kuweza kufanya vizuri kwenye timu zao za taifa?
Ingekuwa ni hivyo, zile ligi maarfu za ulaya hazingeweka quota system that ensures homegrown talent is given first priority in their leaguesPride goes before the fall.
Sidhani kama ulinielewa vyema hapo juu, huo msemo hapo unamaanisha kila kitu kwa kiasi.Ingekuwa ni hivyo, zile ligi maarfu za ulaya hazingeweka quota system that ensures homegrown talent is given first priority in their leagues
Sasa Kenya kuna nini cha kuongelea zaidi ya njaa na maandamano?😅😅Watanzania sasa mpo obsessed na kenya. Nyuzi zaidi ya 20 kuhusu maandamano ya kenya na hakuna hata moja imefunguliwa na mkenya