Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa tukisema ni kuhusu high cost of living in nini huelewi? Wewe unaweza kununua hiyo mafuta na unga kwa bei ya juu kuliko hata hii yetu but you won't do anything about it coz huo uhuru wa kujieleza hauna. Alafu uko hapa kupiga kelele dhidi ya wakenya wanaondamana dhidi ya gharama ya juu ya maisha!!
Yaani leo nyie nyang'au mna hasira ile mbaya😂😂😂
 
Aliyeumbuka ni wewe uliyesema Marekani is the biggest democracy in the world, at the same time unaweka picha zinazoonyesha machafuko kutokana na kunyanyaswa na kuuliwa kwa watu weusi huko Marekani, inaonekana hata maana ya demokrasia hujui.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Do you know the meaning of democracy wewe bongolala? It simply means power of the people,na ndio maana 140 US cities took part in that demonstration. Mauwaji ya watu is about human rights, not democracy. Umesikia bongolala.

Uhuru wa kujieleza, uhuru wa kufanya mikutano, uhuru wa kuandamana na mambo kama hayo are what encompasses democratic space. Si hayo mengine unayofikiria
 
Nilifikiri jana mtaenda ikulu kumng'oa Ruto kumbe nyinyi na "baba" yenu ni waoga?🤣🤣
Do you know which side of the political devide I belong to?

Na ni wapi wakisema wanaenda kumng'oa Ruto mamlaakani? Hivyo ndivyo sisiemu wanavyowaambia?

Azimio were simply taking the message to Ruto's doorsteps and such things happen all over the world.

It's a common thing to see demonstrators on 10 Downing Street or outside The White House. But you won't understand anything coz you are a bongolala and your country is Tanganyika!


 
Is income and Development the same? Unaongelea income wakati tunaongelea development. Tanzagiza is categorized as a Least Developed Country
We kweli chizi unakuwa kama mama kayayii,

Development inakuja vipi bila income?

Hivyo vitu viwili vinategemeana,unauliza swali la kutofautisha kitoto sana
 
Kwasababu wachezaji wao wengi wanacheza nchi za nje. Chukulia nchi ya DRC na Senegal, wachezaji wao wote wa timu ya taifa hucheza ligi za Ulaya na Asia. Sababu kubwa ni historia ya muda mrefu ya michezo ya nchi hizi.

Sisi ndio tumeanza hivi Sasa, tukiendelea hivi, baada ya miaka 20, timu yetu ya taifa itakua na 90% wachezaji wanacheza nje.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Pia wana toa kandarasi kwa makocha wenye viwango vya dunia na mafanikio kwenye ulimwengu wa mpira.
 
The democratic space Americans enjoy itabaki kuwa ndoto hapo kwenu Tanganyika. Violence kuibuka sehemu fulani haimanishi hakuna democracy eneo hilo. Americans took to the street because of their democratic space. Wewe jaribu kuandamana hapo Tandale kama utarudi kwako na kende zako zote
Kwahiyo nchi yenye kukandamiza haki za raia wake kwa misingi ya rangi za ngozi zao na kufikia hata watu kuuliwa hovyo na polisi unaisema Iko na demokrasia kubwa kwa sababu tu wanaweza kuandamana?, Kwa hiyo kuandamana ndio kigezo Cha Demokrasia?, Nchi Kama New Zealand, Finland na Scandinavia countries ambazo hazijawahi kufanya maandamano hazina kabisa dekrasia?. Siwezi kukulaumu kwasababu tangu utoto hamkuwa mkipata chakula Cha kutosha, Ubongo wenu umedumaa kwa njaa

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Sasa tukisema ni kuhusu high cost of living in nini huelewi? Wewe unaweza kununua hiyo mafuta na unga kwa bei ya juu kuliko hata hii yetu but you won't do anything about it coz huo uhuru wa kujieleza hauna. Alafu uko hapa kupiga kelele dhidi ya wakenya wanaondamana dhidi ya gharama ya juu ya maisha!!
Usipoteze malengo, sababu kubwa ya maandamano yenu ni bei ya "Unga", hayo mengine ni Kama "supportive", kwanini unataka kuficha kwa kutumia neno "high cost of living". Cost of living Iko na "components zaidi ya 100, "Cost of living is too general"

Maandamano Kenya ni kwasababu ya Njaa, Wacha maneno mingi we mnuka mavi

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Haya makanyangenze a.k.a makunya a.k.a mapunga a.k.a mazinjathropus sio ya kuyaonea huruma, yamechafua sana taswira ya Tanzania kipenzi cha wengi duniani hapa, nitayapiga spana kila nitakapoyaona.
 
Sasa tukisema ni kuhusu high cost of living in nini huelewi? Wewe unaweza kununua hiyo mafuta na unga kwa bei ya juu kuliko hata hii yetu but you won't do anything about it coz huo uhuru wa kujieleza hauna. Alafu uko hapa kupiga kelele dhidi ya wakenya wanaondamana dhidi ya gharama ya juu ya maisha!!
Wewe zinjathropus nyie mlikuwa mnasema gharama ya maisha lazima iwe juu huko kwenu kutokana na uchumi wenu ni wa kibepari kwamba price is determined pale ambapo demand and supply meet, sasa iweje mnataka ujamaa kwamba serikali iamue bei, hivi mnaelewa mnachokitaka nyie mapunga?
 
Back
Top Bottom