The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Yet, Tanzania export more to Kenya than its importation from that shit hole country.Bei ya gari moja ni nusu ya total export yenu ya mahindi [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787]
Yet, Tanzania export more to Kenya than its importation from that shit hole country.Bei ya gari moja ni nusu ya total export yenu ya mahindi [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787]
Weka na exports au hutaki [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Daily ni picha hizo hizo, wameona tumeeastukia wameanza ku change angle ili waongope.Hope ni GTC hapa ?? Weka clear ili watu waelewe wasije kufkiri nijengo tofaut na GTC ya mchina [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] naona mpigaji kapiga kwa lengo la kuwadanganya watu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi wewe upo na akili timamu?, Mbona unauliza maswali ya kisenge?, Kama watu wamefika hatua ya kutaka kuiangusha serikali kwa nguvu kwa sababu hawana uwezo tena wa kujikimu kimasisha, bado unataka utajiwe mtu mmoja?.
Yaani unataka kutuambia kwamba wakenya ni watu wa fujo, wapo tayari hata ya kupoteza maisha Yao kwa mambo ambayo sio serious?.
Hali ya maisha Kenya imefikia "unbearable", people are ready to die but can't continue to live under the current situation
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Ok piga makofi tafadhali👏👏👏Apart from Egypt the remaining are all Least Developed Countries 😂😂
Weka na exports au hutaki [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni kusoma hujui ama ni kuelewa shida.Show us Tanzania exports to South Africa, and compare the difference.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Endeleeni kujipa matumaininya uongo lakini mkae mkujua viongozi wenu vichwa vinawauma na sasa washaanza kuongea ukweli na mapema 🤣🤣🤣🤣🤣Opposition MP saying anything to remain relevant. The reality tells a different story.
GDP 2015
Kenya - $70 B
Tanzania - $47 B
Gap - $23
GDP 2023
Kenya - $117
Tanzania - $84
Gap - $33
Endeleeni hvo hvo tu 🤣🤣🤣Opposition MP saying anything to remain relevant. The reality tells a different story.
GDP 2015
Kenya - $70 B
Tanzania - $47 B
Gap - $23
GDP 2023
Kenya - $117
Tanzania - $84
Gap - $33
Dunia inabadilika nyinyi bado mumekaa kusifia uongo na ujinga 🤣🤣🤣🤣
Mainly maana yake hakuna kingine au unamaanisha nn ??🤣🤣🤣🤣🤣 na unaumia nn yani kwann ww uumie wakat sio mtanzaniaNi kusoma hujui ama ni kuelewa shida.
Hapo kwa footnote inasema nini?
The only thing South Africa buys from you is raw, unprocessed gold.
View attachment 2555422
Hehehhe nyinyi munafanya biashara na nani kwa kutumia pesa zenu?? Ikiwa dollar imekauka kenya na hamuna hata dollar ya kuagiza mafuta kwann hamkutumia pesa zenu kuagiza mafuta 🤣🤣🤣As I was telling your friend. India has a similar agreement with many other countries including Kenya.
In fact, Tanzania ndio nchi ya mwisho kuingizwa kwenye huu mkataba.
Lakini because you don't have freedom of the media there, you think that it has only happened to you. Mmechelewa hata.
View attachment 2555426
Endeleeni kujipa matumaininya uongo lakini mkae mkujua viongozi wenu vichwa vinawauma na sasa washaanza kuongea ukweli na mapema 🤣🤣🤣🤣🤣
Unashangilia GDP wakat debt to GDP ratio iko kwenye red line sasa munaelekea 10trillion ksh alaf bakia hapa kukenua meno huyo MP anajua kuliko wewe chizi🤣🤣Opposition MP saying anything to remain relevant. The reality tells a different story.
GDP 2015
Kenya - $70 B
Tanzania - $47 B
Gap - $23
GDP 2023
Kenya - $117
Tanzania - $84
Gap - $33
Hehehhe nyinyi munafanya biashara na nani kwa kutumia pesa zenu?? Ikiwa dollar imekauka kenya na hamuna hata dollar ya kuagiza mafuta kwann hamkutumia pesa zenu kuagiza mafuta 🤣🤣🤣
Badilikeni dunia ishabadilika acheni sifa za uongo hazina faida wala maana kwa dunia hii