Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwetu unaweza sema chochote unachotaka bila kufungwa. Naelewa hilo ni jambo geni bongolala.
Wabunge wa upinzani watafanya kazi yao, na serikali itafanya kazi yake.

Ukiwa na swali nenda ukaulize wasahibu wa IMF na World Bank. Hao ndio wamesema nyinyi ni maskini wakutisha.
So MP hajui chochote kuliko ww mnuka uharo ?? Yani yule yuko kwenye serekali awe hajui hali halisi kuliko wewe chizi 🤣🤣🤣 viongozi wenubwanajaribu kuwaambia ukweli na ukweli hamuutaki
 
Unashangilia GDP wakat debt to GDP ratio iko kwenye red line sasa munaelekea 10trillion ksh alaf bakia hapa kukenua meno huyo MP anajua kuliko wewe chizi🤣🤣

Huyu anaongea hali halisi sio zile sifa za nye nye nye 👇👇👇


Concern yourself with the poverty down there.
Kenya GDP yetu haiko ligi moja na yenu.

And the gap is only growing wider, supported by data.
 
Kwahiyo Ichoboy co mtanzania au sio? Huo ukabila wenu pelekea bibi yako kijijini huku kwetu haturuhusu huo ushenzi wenu, kwamba mkenya ni lazima awe mweusi tii na mdomo uliodondoka kama wako si ndio.
Ichoboy ni mwarabu bonoko. Mtanzania ni mtu kama wewe mwenye asipobeba rungu na torch usiku analala njaa😂😂
 
So MP hajui chochote kuliko ww mnuka uharo ?? Yani yule yuko kwenye serekali awe hajui hali halisi kuliko wewe chizi 🤣🤣🤣 viongozi wenubwanajaribu kuwaambia ukweli na ukweli hamuutaki

MP wa upinzani analipwa kusema Kenya inafanya vibaya.

Data ndio tunaamini.
Mbunge huyu kwanza the first statement ati Kenya GDP 2015 ilikuwa zaidi ya $80 billion ilikuwa uongo. Huyo ni kichaa tu kama wewe.
 
I'm glad you asked. Ni kama hii habari ya Tuesday ilikupita.

View attachment 2555436
🤣🤣🤣🤣 ukiona hvo ujue saud arabia kawacharaza kisawasawa dollar hamuna basi ujue nyuma ya pazia kuna kitu kinaendelea

Hii ndio nchi ya GDP nye nye nye 🤣🤣
20230317_170848.jpg
 
MP wa upinzani analipwa kusema Kenya inafanya vibaya.

Data ndio tunaamini.
Mbunge huyu kwanza the first statement ati Kenya GDP 2015 ilikuwa zaidi ya $80 billion ilikuwa uongo. Huyo ni kichaa tu kama wewe.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 so akiwa wa upinzani asiseme ukweli kua kenya imeangukia pua au munasubiri muanguke alaf muanze lawama ??? Mbunge kachaguliwa na wananchi amekua wazimu
 
Kwanza piga makofi 👏👏👏👏👏 UN not IMF or world bank???🤣🤣🤣
Nilishakiambia uende ukaombe akili kwa watoto nursery school 😂😂🤣. WB and IMF zote ziko chini ya UN, UN ndio kusema. Ni kama in Tanzania there's Zanzibar na Tanganyika, gani ndio kusema na inaheshimiwa zaidi?😂😂🤣😂
 
Tanzagiza is a confused country. Unaexport raw materials instead of finished products 😂🤣
Ukimaanisha gold sio finished goods ama?

Saud arabia ana oil na anauza crude oil inamaana hana akili au ulitaka auze mahindi??🤣🤣🤣🤣
 
Unashangilia GDP wakat debt to GDP ratio iko kwenye red line sasa munaelekea 10trillion ksh alaf bakia hapa kukenua meno huyo MP anajua kuliko wewe chizi🤣🤣

Huyu anaongea hali halisi sio zile sifa za nye nye nye 👇👇👇

Kuna stima kwako? Ama unangoja kutumia mshumaa usiku?😂😂🤣😂
 
Ukimaanisha gold sio finished goods ama?

Saud arabia ana oil na anauza crude oil inamaana hana akili au ulitaka auze mahindi??🤣🤣🤣🤣
Ichoboy you are both stupid, idiot and illiterate. There's refined gold and unrefined gold. Tanzagiza is exporting unrefined gold🤣🤣😂🤣
 
Ichoboy you are both stupid, idiot and illiterate. There's refined gold and unrefined gold. Tanzagiza is exporting unrefined gold🤣🤣😂🤣
Leta evidence kua tanzania ina export unrefined gold ukipata unitag fala kweli ww hujui sheria za tanzania na unaongea hapa au huna taarifa kua kampuni za gold refinery zipo za kutosha na sheria zilibadilishwa toka kipindi cha magufuli
 
Back
Top Bottom