Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzagiza ndio kinara wa blackouts in East and Central Africa 😂🤣😂


Kumbe kuna tatizo nyumban kwake na sio kwamba umeme hakuna au kiswahili sio lugha ya taifa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

" Tatizo la umeme hapa kwangu "
 
Leta evidence kua tanzania ina export unrefined gold ukipata unitag fala kweli ww hujui sheria za tanzania na unaongea hapa au huna taarifa kua kampuni za gold refinery zipo za kutosha na sheria zilibadilishwa toka kipindi cha magufuli
Wewe kama hujui hata Sheria za kwako, za nchi yako ndio utajua? Sijai ona mtu fala kama wewe🤣🤣😂🤣
 
Wewe kama hujui hata Sheria za kwako, za nchi yako ndio utajua? Sijai ona mtu fala kama wewe🤣🤣😂🤣
Leta evidence tanzania ina export unrefined gold na siku yoyote ukipata let me know plz 🤣🤣🤣🤣🤣 unaanza kugeuza mada hapa leta evidence kwan unachokiongea ili uonekane ww unaakili timamu
 
Kumbe kuna tatizo nyumban kwake na sio kwamba umeme hakuna au kiswahili sio lugha ya taifa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

" Tatizo la umeme hapa kwangu "
Tanzagiza is the king of blackouts 😂😂🤣😂.

 
Tanzania inasonga mbele wakenya wanaandamana
1679063301982.png
 
Hata sisi tunaona 🤣🤣🤣🤣🤣


Nimekuambia utafute akili😂😂🤣😂 Do you know the meaning of maintenance? Wamepewa notice ati stima itazimwa from this time to this time and on this date. That's proper planning and inconvenient to the customer. Yani stima ikipotea customer anajua tu ni maintenance ndio inafanywa juu alishaambiwa before. Ya Tanzagiza inapotea, watu hawajui imeenda wapi na itarudi lini🤣😂🤣😂😂. Hata TANESCO wenyewe hawajui stima imeenda wapi🤣😂🤣
 
Nimekuambia utafute akili😂😂🤣😂 Do you know the meaning of maintenance? Wamepewa notice ati stima itazimwa from this time to this time and on this date. That's proper planning and inconvenient to the customer. Yani stima ikipotea customer anajua tu ni maintenance ndio inafanywa juu alishaambiwa before. Ya Tanzagiza inapotea, watu hawajui imeenda wapi na itarudi lini🤣😂🤣😂😂. Hata TANESCO wenyewe hawajui stima imeenda wapi🤣😂🤣
Tafuta link kua tanzanian ina export unrefined gold ukipata unitag hakuna kubadilisha mada hapa 🤣🤣🤣🤣 unaongea kisa una wivu na chuki zako alaf zinasaidia nn???
 
Tafuta link kua tanzanian ina export unrefined gold ukipata unitag hakuna kubadilisha mada hapa 🤣🤣🤣🤣 unaongea kisa una wivu na chuki zako alaf zinasaidia nn???
Unajua maintenance ni nini? Uko na stima kwako?🤣🤣😂
 
Za Kenya ni maintenance, za Tanzagiza watu hawajui penye zinaenda😂🤣😂
Maintenance na watu wanakatiwa umeme ovyo 🤣🤣🤣🤣 ww unajuaje kama ya tanzanian sio maintenance ??
👇👇👇👇👇👇👇👇




 
Unajua maintenance ni nini? Uko na stima kwako?🤣🤣😂
Africa yote bado sana kwenye swala la umeme yani bado sana kua na umeme wa uhakika hio south africa yenyewe inalia na tushasaini kua tutawauzia umeme juzi itakua hio kenya nchi inalaana kila kona 😆😆😆😆
 
Maintenance na watu wanakatiwa umeme ovyo 🤣🤣🤣🤣 ww unajuaje kama ya tanzanian sio maintenance ??
👇👇👇👇👇👇👇👇





Ya Tanzagiza sio maintenance 🤣🤣😂🤣. Alafu kwa kukata umeme kwani ulitaka maintenance ifanyika ikiwa watu wanatumia stima? Umepeleka akili wapi chokoraa😂😂😄🤣.

Ebu tuonye notice like this from TANESCO😂😂🤣.

 
Ni kusoma hujui ama ni kuelewa shida.
Hapo kwa footnote inasema nini?

The only thing South Africa buys from you is raw, unprocessed gold.

View attachment 2555422
What is the value of exports?, UAE and Saudia export mainly oil, but they feed you.

The value of Tanzania export to South Africa is bigger than what we import from South Africa. That shows how strong our economy is



Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Ya Tanzagiza sio maintenance 🤣🤣😂🤣. Alafu kwa kukata umeme kwani ulitaka maintenance ifanyika ikiwa watu wanatumia stima? Umepeleka akili wapi chokoraa😂😂😄🤣.

Ebu tuonye notice like this from TANESCO😂😂🤣.


Kuna sababu nyingi ya umeme kukatika inaweza ikawa maintenance moja wapo au transformer kuripuka au shida yoyote inayohusiana na umeme nakupa mfano hapa dar wanabadilisha sana nguzo kupisha ujenzi wa BRT phase 2 and 3 so unataka watoe nguzo bila kukata umeme au? Shida yenu nyinyi ni kujifanya mahuma matatizo wakat kunamamtizo yaliokubuhu na hayana tiba 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom