Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzania-NICTBB.jpeg
 
TANZANIA unstoppable

Digital inclusion is defined as “equitable, meaningful, and safe access to use, lead, and design of digital technologies, services, and associated opportunities for everyone, everywhere

Tanzania-Mobile-Money-Transaction-Value-2022.png
 
I better pay more than to have power rationing 😂😂🤣😂

 
I better pay more and have my power all the time than pay less na kukesha gizani😂🤣

 
Nani anataka kuangusha serikali tofauti na Raila?[emoji23][emoji23] Raila ni wakenya? There have been demonstrations in Kenya since 2007 and no government has ever been overthrowned. Now back to electricity, please tell me how Tanzanian continuous blackout benefit businesses?[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23] It's better to have expensive but readily available power than to have cheap that inapotea siku nzima[emoji23][emoji23]
Kwahiyo hao watu ambao wapo tayari kujitokeza Jumatatu kwenda kufanya maandamano na kuelekea Ikulu, wote hao hawana akili, wao hawana shida ya maisha ila wanabebwa na Raila?.

Wacha kukimbia ukweli, hali yenu ya maisha ni ngumu mno, Raila anatumia kigezo hicho Cha hali ngumu ya maisha Ili kuwatumia watu waliokata tamaa.

Siku hiyo hiyo ya Jumatatu, Kule South Afrika, Julius Malema na chama chake Cha EEF wameitisha maandamano ya kumfurusha Ramaphosa, lakini kwasababu wananchi wengi wa South Africa hawapo na njaa Kali Kama Kenya, ni wachache Sana watajitokeza, ila hapo kwenu kwa sababu watu wamekata tamaa ya maisha, watajitokeza kwa wingi Sana, na mauaji yatatoke.

Maisha ya wakenya ni mabaya kuzidi hata Yale ya South Sudan na Somalia.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Rostam ni mwarabu huyo. Hakuna siku mtanzania atawaiwekeza Kenya tofauti na wale hawkers wa kuuza vijiko na sahani Nairobi [emoji23][emoji23][emoji1787]
Kwahiyo Ichoboy co mtanzania au sio? Huo ukabila wenu pelekea bibi yako kijijini huku kwetu haturuhusu huo ushenzi wenu, kwamba mkenya ni lazima awe mweusi tii na mdomo uliodondoka kama wako si ndio.
 
Back
Top Bottom