Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

As expected, an LDC country exporting their raw minerals to a more developed country.
You remove the gold and you export almost nothing to SA.
Sikia hii kondoo 🤣🤣🤣🤣🤣 kwan ww ulitakaje sasa hebu kwanza msikilizw rais wao ansema nn👇👇👇

 
Kwani rostam ni nani ?? 🤣🤣🤣🤣🤣 au hutaki awe mtanzania tumtoe
Rostam ni mwarabu huyo. Hakuna siku mtanzania atawaiwekeza Kenya tofauti na wale hawkers wa kuuza vijiko na sahani Nairobi 😂😂🤣
 
Kenya iliuzia Tanzania magari 241 last year. Nikuletee besheni umwagie machozi?😂😂🤣
Iliuzia 241 units ndio mumefanya biashara gani 241 units mwaka mzima huyo mwekezaji anafanya kazi gani 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Rostam ni mwarabu huyo. Hakuna siku mtanzania atawaiwekeza Kenya tofauti na wale hawkers wa kuuza vijiko na sahani Nairobi 😂😂🤣
So akiwa mwarabu manake sio mtanzania au??? Kwakua mumezoea ukabila ndio munafkiri uko kila sehemu

Miongoni mwa matajiri wengi wa kenya ni wahindi je ni wahindi au wakenya ??🤣🤣
 
Faida yake nn kwa wakenya 🤣🤣🤣 ikiwa umeme ni ghali na wananchi wenu maskini


Faida yake ni kwamba kila mtu anatumia umeme. Ama wewe umeona mkenya ametoanisha electricity connection kwa nyumba yake juu ni ghali? Mbona akili yako haikusaidii?😂😂🤣😂
 
Sikia hii kondoo 🤣🤣🤣🤣🤣 kwan ww ulitakaje sasa hebu kwanza msikilizw rais wao ansema nn👇👇👇


Yet Tanzania is still LDC while SA is a proper middle economy country 🤣🤣😂🤣
 
Faida yake ni kwamba kila mtu anatumia umeme. Ama wewe umeona mkenya ametoanisha electricity connection kwa nyumba yake juu ni ghali? Mbona akili yako haikusaidii?😂😂🤣😂
Watu wanatumia umeme gani ambao unawashinda kila siku bei inaoanda ww unawaza umeme kua juu huwazii chakula watu wanakufa 🤣🤣🤣🤣

 
Iliuzia 241 units ndio mumefanya biashara gani 241 units mwaka mzima huyo mwekezaji anafanya kazi gani 🤣🤣🤣🤣🤣
Kwani nani kakuambia gari ziliuzwa Tanzania pekee? Uganda walinunua 146😂😂🤣😂
 
Kwani nani kakuambia gari ziliuzwa Tanzania pekee? Uganda walinunua 146😂😂🤣😂
Yani nimecheka sana mwaka mzima 241 units ohhh GOD wacha tu nicheke ndio maana nimeamini export tanzania to kenya is higher than export kenya to tanzania sasa nimeamini 🤣🤣🤣🤣🤣
 
So akiwa mwarabu manake sio mtanzania au??? Kwakua mumezoea ukabila ndio munafkiri uko kila sehemu

Miongoni mwa matajiri wengi wa kenya ni wahindi je ni wahindi au wakenya ??🤣🤣
Huyo ni mwarabu bwana. Mtanzania atowe wapi pesa za kuwekeza kenya?🤣😂🤣
 
Watu wanatumia umeme gani ambao unawashinda kila siku bei inaoanda ww unawaza umeme kua juu huwazii chakula watu wanakufa 🤣🤣🤣🤣


Ebu nitajie mtu mmoja mwenye ameshindwa kulipa stima. Nimesimama paleee nangoja😂😂🤣😂
 
Ebu nitajie mtu mmoja mwenye ameshindwa kulipa stima. Nimesimama paleee nangoja😂😂🤣😂
Watu wanalalamika wakenya maskini maisha yanakwenda juu haya mutashindana na nchi gani nyinyi ikiwa stima inakwenda juu kila siku 🤣🤣🤣🤣

 
Yani nimecheka sana mwaka mzima 241 units ohhh GOD wacha tu nicheke ndio maana nimeamini export tanzania to kenya is higher than export kenya to tanzania sasa nimeamini 🤣🤣🤣🤣🤣
Bei ya gari moja ni nusu ya total export yenu ya mahindi 🤣🤣😂🤣
 
So kama ni mwarabu anakua sio mtanzania au ni wivu tu kwamba hujapenda kuona mtanzania anafanya kufuru kenya 🤣🤣🤣
Warabu wanatoka region gani Tanzania? Babu ya Babu yake alizaliwa region gani Tanzania?😂😂🤣🤣
 
Huyo ni mwarabu bwana. Mtanzania atowe wapi pesa za kuwekeza kenya?🤣😂🤣
Rostam kazaliwa tanzania kakulia tanzania kafanya biashara zake tanzania sasa unatakaje labda hebu tuambie tunaeza rekebisha tumfukuze au?🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom