Mm mwenyewe kuhusu profesa J nilijiuliza sn [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hizo takwimu ni za uongo, majority ya wasanii wa ki Africa gari tu huwa wanaazima ili waonekane wako vizuri, huyo mond mwenyewe kwa ss ndiyo anamiliki mikebe ya maana na tunakubali kutokana na mziki wake kukubalika Africa.
Nakubaliana na wewe hizo pesa si za kweli. Ni wanamuziki wachache sana Africa wenye mkwanja, kwa hapa EA ni Diamond pekee wengine wote ni waigizaji tu.