Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Thanks for the blog🤣🤣😂😂
Kuhusu magari Nasibu ndio usiguse mdogo etu .. Nasibu uani kwake ana chuma saba za maana ..Cadillac Escalade is a $90,000 car, compare it to this 😂😂
View attachment 2553732
🤣🤣🤣 Ndio mana nilisema nyinyi ni washamba hii nyumba kwanza inakaa Juakali type .. thamani ya nyumba anayoishi Diamond ni T sh 2.3 billion .. convert ije kwenye dollar.. mind you Diamond ana nyumba zaidi ya 70 hapa DAR tu.. ninazo nyumba kadhaa ukitaka nitapost . Hapo tulikua tunazungumzia tu nyumba ya mbezi 🤣🤣Unatumia hasira kujibu vitu simple simple 😂🤣😂. Nyumba ya Akothee ni $800,000, ya Diamond sidhani hata kama imefika $700,000🤣😂😂.
Akothee village house.
View attachment 2553755
View attachment 2553756
View attachment 2553762
View attachment 2553767
View attachment 2553768
View attachment 2553771
Kuhusu magari Nasibu ndio usiguse mdogo etu .. Nasibu uani kwake ana chuma saba za maana ..
1. Cadillac Escalade 2
2. V8 1
3. BMW 1
4. Prado TX 2
5. Rolls Royce cullinan black bedge 2021 1. Hizi hapa 👇hizi hapa 👇
.
$700,000 still behind Akothee's😂😂🤣🤣🤣🤣 Ndio mana nilisema nyinyi ni washamba hii nyumba kwanza inakaa Juakali type .. thamani ya nyumba anayoishi Diamond ni T sh 2.3 billion .. convert ije kwenye dollar.. mind you Diamond ana nyumba zaidi ya 70 hapa DAR tu.. ninazo nyumba kadhaa ukitaka nitapost . Hapo tulikua tunazungumzia tu nyumba ya mbezi 🤣🤣
Huwezi kudanganya hadi kufa mzee utakamatika tu 👇$700,000 still behind Akothee's😂😂🤣
Who told you Akothee hana hoteli? Kwanza hii ya Diamond inakaa tu ya one star😂😂🤣Juzi Kati diamond alinunua haka ka Hotel kapo mikocheni mikocheni 👇View attachment 2553789View attachment 2553790.. Teargas. Pita hapa
Kumbe ni cheaper than mansion ya Akothee in Mombasa?😂🤣🤣Huwezi kudanganya hadi kufa mzee utakamatika tu 👇View attachment 2553791
🤣 🤣 🤣 🤣Kumbe ni cheaper than mansion ya Akothee in Mombasa?😂🤣🤣
Huyo anaweza wananunua wewe na jamii yako yote😂😂🤣😂
Leta hiyo mansion ya Akothee in Mombasa tuone 🤣🤣🤣. huwezi bisha hadi kufaKumbe ni cheaper than mansion ya Akothee in Mombasa?😂🤣🤣
Diamond platnumz ndio msaani mwenye magari mazito Africa MasharikiDo you the kind of cars Akothee have?
Huyu Akothee ni takataka 🚮 tu🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿mbingu na ardhi instagram
View attachment 2553820View attachment 2553821View attachment 2553822View attachment 2553823View attachment 2553824View attachment 2553825View attachment 2553826
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 2553832
Sio kua hajui ukweli ila ni kwamba roho inamuuma sana kwa wivu 🤣🤣🤣🤣🤣Huyu Akothee ni takataka 🚮 tu