Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Below is a list of things that make Kenya a slave of Tanzania:-
  1. Good and reliable roads
  2. SGR
  3. BRT
  4. Good Transport of Buses
  5. Haulage
  6. Music Industry
  7. Tourism
  8. Sport
  9. Digital Inclusion
  10. Reliable Energy
  11. Export of Goods
  12. Agriculture
  13. Trade and Investment
  14. Internet Services
  15. Culture and Conservation
  16. Beautiful Cities
  17. Beaches and Marine reserves
  18. National Parks and Game reserves
  19. Stable Economy
  20. Bridges

Orodha ni ndefu sana...
Wakenya wametepeta
 
Let start with Good and reliable roads Kenya road network inaishia Nairobi na Mombasa
Compare and Contrast from this map. You can see and view road network between Kenya and Tanzania. Hatutaki uongo uongo wa maneno.

1678962983498.png
 
Mkuu, japo hii list inamuweka Diamond na kiasi hicho Cha pesa, huo sio ukweli, hizi ni habari za kuhisi tu.

Mwanamziki tajiri kuzidi wote hapa EA ni Diamond, lakini hafikii hiyo pesa hapo, Kama amezidi Sana atakuwa anakaribi $7M, lakini hata hiyo Nina wasiwasi naye.

Bobi Wine hawezi kufika hata $3M, kwa mziki upi?, Labda Kama amepata kwenye siasa, zaidi ya miaka 6 hivi Sasa hafanyi muziki Yuko Bungeni.

Kuhusu Prof.J, huyo ndio kichekesho kabisa, juzi hapa mke na ndugu zake walijitokeza kwenye vyombo vya habari kuomba mchango Ili kulipia gharama za matibabu, vipi mtu mwenye mamilioni ya dollar aombe msaada wa matibabu?.

Kenya hakuna mwanamziki hata mmoja ambaye alishawahi kuvuka $1M mark, kwa muziki upi, kwa shows zipi, kwa mauzo yapi?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mm mwenyewe kuhusu profesa J nilijiuliza sn [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hizo takwimu ni za uongo, majority ya wasanii wa ki Africa gari tu huwa wanaazima ili waonekane wako vizuri, huyo mond mwenyewe kwa ss ndiyo anamiliki mikebe ya maana na tunakubali kutokana na mziki wake kukubalika Africa.

Nakubaliana na wewe hizo pesa si za kweli. Ni wanamuziki wachache sana Africa wenye mkwanja, kwa hapa EA ni Diamond pekee wengine wote ni waigizaji tu.
 
Nimecheka sana leo diamomd anamiliki
Wasafi media
Wasafi radio
Wasafi studio
Wasafi wcb classic

Hzo tu zinakutosha bado sijaingia kwenye mambo mengine 🤣🤣🤣🤣
Mtu anamiliki vyumba vya $50M wewe unatuonyesha studio ya $20,000😂😂🤣
 
Back
Top Bottom