Akothee ndiyo nani? Simjui, alafu Wakenya kuna vitu mbn mnaleta uchale? Mfano mambo ya shule ni uchale mtupu mnaleta hapa, we mnuka mavi nawe unaanza kunitajia mtu ambaye hata simjui unamlinganisha na mwanamuziki mkubwa Africa, huo ni uchale Chaplin mnaleta.Akothee is better than all your artists.
Wakenya infrastructures zao zinakaa jua kali sana aisee, hawazingatii standard huko kwao, hovyo sn hii nchi.Hii nchi lazma iwe na laana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2553060View attachment 2553061View attachment 2553062
Kanamwiga zwazwa, baada ya kupokea kichapo kwenye shule wakakaa kikao zwazwa akaja na hiyo hoja ya kujiliwaza, mambo kwa ground kila mtu kaona hakuna mbambamba.Tuusan hata wewe mwenyewe unajua majority ya shule mlizoweka humu ni ushuzi. Kuna shule chache mmeweka hapa ni quality kama nimeona rhino... na zingine
Kuna hii hapa ya 2023, achana na hiyo mliyotengeneza chumbani kwenu, ninekuwekea link kabisa hamtuwezi kwa chochote [emoji116][emoji116]
ecocnn.com
Akothee ndiyo nani, unamjua wewe na Wakenya wenzio, sisi Watz hatumjui na sijawahi kusikia mziki wake, ofcz mziki wa Kenya siujui na huwa sina time na mziki wenu, watz hatujui wasanii wa Kenya hata mkilia. Labda wacongo wana cha kuongea mbele yetu sio nyie, hatuwajui trust me, hakuna kijana wa kitanzania anasikiliza muziki wa Kenya, ni wakizee.Mwisho wa siku kila mtu anajua Akothee ni richer than Diamond [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Kakasirika [emoji3516][emoji3516][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Forbes ya babako[emoji23][emoji23][emoji23]
We kweli mwehu, watu wanaongelea you tube we unaongelea FB kweli?Nonsense. Cloud Tv with only 16k Twitter followers and 250k FB followers ndio unatupigia nayo kelele hapa?[emoji23][emoji23][emoji1787].
Choose one TV station tulinganishe na Citizen.
Hizi zenyewe zote ni data za uongo tu hizo hela hao wasanii engine wanatajwa kua nazo ni uongo kwasababu kimziki hawamfkii hata robo Diamond, vyanzo vya mapato vya Nasibu vinajulikana, je hao wazembe wengine vyanzo vyao vya mapato ni vipi.? Hata watajwe kumiliki hizo hela.?Kuna hii hapa ya 2023, achana na hiyo mliyotengeneza chumbani kwenu, ninekuwekea link kabisa hamtuwezi kwa chochote [emoji116][emoji116]
View attachment 2553378![]()
Richest Musician in East Africa 2023 Forbes Top 10 List - ECOCNN
List of Forbes top 10 richest artists/musician in East Africa from 2021 to 2022 and their net worth. Richest artists in East Africa in 2022.ecocnn.com
Badala ya kuthibitisha unapiga piga kelele, shule kuwa na air conditioning ni jambo dogo? Kenya nzima hakuna shule ya serikali yenye vioo, achilia mbali air condition.[emoji1787][emoji1787] humu pamejaa wendawazimu
Nani anashughulika na fb siku hzi 🤣🤣🤣We kweli mwehu, watu wanaongelea you tube we unaongelea FB kweli?
Sasa hasira za nini? Akothee ni tajiri kuliko wasani wote wa Tanzania. Nyinyi wajinga mnadhani utajiri unaangaliwa Kwa kutumia views na YouTube subscriptions? 😂😂😂🤣 Wealth is measured by the assets someone owns. No Tanzanian can come close to Akothee, tofauti na TV station na Radio station, ni asset gani tena Diamond Ako nayo?😂😂🤣Akothee ndiyo nani? Simjui, alafu Wakenya kuna vitu mbn mnaleta uchale? Mfano mambo ya shule ni uchale mtupu mnaleta hapa, we mnuka mavi nawe unaanza kunitajia mtu ambaye hata simjui unamlinganisha na mwanamuziki mkubwa Africa, huo ni uchale Chaplin mnaleta.
Na kiongozi wa wendawazimu ni wewe[emoji1787][emoji1787] humu pamejaa wendawazimu
Ya 2023 ilitolewa lini?😂😂🤣 Kama ya 2022 ndio bado hijatoka, hiyo ya 2023 umepika kwa jikoni ya Magufuli?🤣🤣Kuna hii hapa ya 2023, achana na hiyo mliyotengeneza chumbani kwenu, ninekuwekea link kabisa hamtuwezi kwa chochote [emoji116][emoji116]
View attachment 2553378![]()
Richest Musician in East Africa 2023 Forbes Top 10 List - ECOCNN
List of Forbes top 10 richest artists/musician in East Africa from 2021 to 2022 and their net worth. Richest artists in East Africa in 2022.ecocnn.com
Yani we we unaandika huku ukweli unaujua,huyo kokote hata juma lokole kamzidi maisha.Sasa hasira za nini? Akothee ni tajiri kuliko wasani wote wa Tanzania. Nyinyi wajinga mnadhani utajiri unaangaliwa Kwa kutumia views na YouTube subscriptions? 😂😂😂🤣 Wealth is measured by the assets someone owns. No Tanzanian can come close to Akothee, tofauti na TV station na Radio station, ni asset gani tena Diamond Ako nayo?😂😂🤣
Sio lazima ujulikane ndio ikuwe tajiri. Ama hivo ndio mlifunza our dear watchman?Akothee ndiyo nani, unamjua wewe na Wakenya wenzio, sisi Watz hatumjui na sijawahi kusikia mziki wake, ofcz mziki wa Kenya siujui na huwa sina time na mziki wenu, watz hatujui wasanii wa Kenya hata mkilia. Labda wacongo wana cha kuongea mbele yetu sio nyie, hatuwajui trust me, hakuna kijana wa kitanzania anasikiliza muziki wa Kenya, ni wakizee.
Is FB not a social media? Ama Social media ni YouTube pekee?😂😂🤣.We kweli mwehu, watu wanaongelea you tube we unaongelea FB kweli?
Akothee is richer than all Tanzanian artists, end of story.Yani we we unaandika huku ukweli unaujua,huyo kokote hata juma lokole kamzidi maisha.
Nimekwambia wengine wao shule wameenda ni hii JF. 🤣Is FB not a social media? Ama Social media ni YouTube pekee?😂😂🤣.
Nimekuambia mkipata TV station Tanzania with a more cumulative social media subscribers than Citizen mniambie.