Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

imeuma hiyo 😂😂😂 zote mlizopost ninyi ni substandard na hatusemi, huwezi kulinganisha hata siku 1 shule za Tanzania na zenu kwa standards, tumewaacha mbali sana
Kuna shule moja pekee ya maana mmepost humu, zingine zote upuzi. Angalia shule zetu architecture ilivyo nzuri.

Aga Khan Academy - Mombasa

1165.jpg
Photo-Mombasa-Premises-night.jpg
Homepage%20Slider.002_0.jpeg
1.-Aga-Khan-Academy-Mombasa-Completed-Kshs.-1.5B.jpg

Screenshot 2023-02-06 200412.jpg



Sasa ukilinganishe hii na huo utopolo unapost kabisa unaona ligi? 🤣 🤣 🤣
 
Kuna shule moja pekee ya maana mmepost humu, zingine zote upuzi. Angalia shule zetu architecture ilivyo nzuri.

Aga Khan Academy - Mombasa

1165.jpg
Photo-Mombasa-Premises-night.jpg
Homepage%20Slider.002_0.jpeg
1.-Aga-Khan-Academy-Mombasa-Completed-Kshs.-1.5B.jpg



Sasa ukilinganishe hii na huo utopolo unapost kabisa unaona ligi? 🤣 🤣 🤣
Kuna shule moja pekee ya maana mmepost humu, zingine zote upuzi. Angalia shule zetu architecture ilivyo nzuri.

Aga Khan Academy - Mombasa

1165.jpg
Photo-Mombasa-Premises-night.jpg
Homepage%20Slider.002_0.jpeg
1.-Aga-Khan-Academy-Mombasa-Completed-Kshs.-1.5B.jpg



Sasa ukilinganishe hii na huo utopolo unapost kabisa unaona ligi? 🤣 🤣 🤣
best way to say 'am defeated' without saying am defeated 😂😂😂
 
Wamebaki na mipasho tuu, wanaomba mada ibadilike, sisi hatujamaliza, zimebaki shule kama 700 hivi hazijapostiwa mana hapa nnapoishi nje kuna secondary mbili na kali alafu sijazipost
😂😂😂😂😂 bwege huyu kama unakumbuka alianza na vumbi na tope, yaani yote hiyo kuonesha alivyo kula KO
 
Yani this one
images-31-jpeg.2551172

Defeats this one - na bado unaona kichwa chako timamu? 🤣 🤣 🤣
1.-Aga-Khan-Academy-Mombasa-Completed-Kshs.-1.5B.jpg

138250715_2762999437250675_1605334722665319472_n.jpg
unatoa wapi guts za kukosoa hayo majengo wakati majority of reside in these kinds of buildings 😂😂😂

madirisha makubwa hivyo mnayatoa wapi huku? hizo finished walls umeziona wapi Kenya? madirisha ya aluminum ya kuslide Umeona wapi Kenya?

images (91).jpeg
images (90).jpeg
images (92).jpeg
images (95).jpeg
 
bwege huyu kama unakumbuka alianza na vumbi na tope, yaani yote hiyo kuonesha alivyo kula KO
Tukitoka hapa twendeni kwenye primary schools, kuna mkenya mmoja alipost hii picha, eti ndiyo shule imejengwa na Government, yn serikali inakusanya kodi alafu inawajengea raia shule kama hii, yn serikali ya Kenya sijui inawachukuliaje Wakunya aloo
tapatalk_174212678_404x189.jpg
 
Hahah mashule ziko na design za githuria bedsitters
Unajenga aje shule kama manyumba za kupangisha!!!
Manze, ile Githurai wanashinda wakidiss ndio sahii wanaseifia. Kumbe wakiwa na Githurai huko kwao wanaweza ringa. 🤣 🤣 🤣
 
Ishara ya kushindwa hii. 🤣 🤣 🤣
kushindwa nini?

Hata kwenye shule zetu za vijijini za msingi wamewapita mbali sana kwenye ubora wa madarasa, nioneshe shule zenu za msingi zenye aluminum windows, gypsum, tiles nifunge virago 😂😂😂

Kwenye ubora hampo kabisa tokeni huko haraka 😂😂😂

images (80).jpeg
images (81).jpeg
images (82).jpeg
images (84).jpeg
images (85).jpeg
images (83).jpeg
 
Tukitoka hapa twendeni kwenye primary schools, kuna mkenya mmoja alipost hii picha, eti ndiyo shule imejengwa na Government, yn serikali inakusanya kodi alafu inawajengea raia shule kama hii, yn serikali ya Kenya sijui inawachukuliaje Wakunya aloo View attachment 2551246
😂😂😂😂😂 angalia kituko kama hicho ndio marking scheme yake ya ubora wa shule halafu huyo huyo kima anaicheka hii shule 😂😂😂😂

images (31) (1).jpeg
 
kushindwa nini?

Hata kwenye shule zetu za vijijini za msingi wamewapita mbali sana kwenye ubora wa madarasa, nioneshe shule zenu za msingi zenye aluminum windows, gypsum, tiles nifunge virago 😂😂😂

Kwenye ubora hampo kabisa tokeni huko haraka 😂😂😂

View attachment 2551289View attachment 2551290View attachment 2551291View attachment 2551292View attachment 2551293View attachment 2551294
Just compare the quality of schools I'm posting na huu upuzi wako alafu uniambie. Yani hizi shule huku Kenya ni za CDF. Google CDF utaona ni nini.
 
Just compare the quality of schools I'm posting na huu upuzi wako alafu uniambie. Yani hizi shule huku Kenya ni za CDF. Google CDF utaona ni nini.
Kwanza nilichogundua shule zenu hazina computer labs, biology labs, chemistry labs, physics labs, library, hamna playing grounds na shule zenu hizo kiduchu mlizopost ni finyu, vishule vidogo mno haina hata mikondo

inawezekana anyone with a 3 bedroom house anaweza kubadilisha kuwa shule anytime he wants to
 
Kwanza nilichogundua shule zenu hazina computer labs, biology labs, chemistry labs, physics labs, library, hamna playing grounds na shule zenu hizo kiduchu mlizopost ni finyu, vishule vidogo mno haina hata mikondo

inawezekana anyone with a 3 bedroom house anaweza kubadilisha kuwa shule anytime he wants to
Ukiangalia post zangu nyingi nimepost nyumba na aerial view. Hebu nionyeshe aerial view moja ambayo haina hizo facilities. Hehehe
 
Back
Top Bottom